white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,618
- 13,880
Huyo sio fundi bali ni kishoka!! Cement ya kawaida inatumika kupiga plasta tu, baada ya hapo kwenye skimming, kwa nje inatumika white cement pamoja na rangi nyeupe ya maji, kwa ndani unatumia gypsum powder inachanganywa na rangi ya maji!! Ukikosea ukatumia gypsum kwa nje ikapigwa maji utajutaaa!!!ndio hapo mvutano ulipokuja kati yangu na fundi. fundi yeye anasema white cement inakuja kuvimba baadae, ndio anashauri cement ya kawaida. hapo ndo natatizika