Wadau tangu jana naskia kende langu la kushoto linamaumivu,nikisimama maumivu makali,nikijinyoosha pia naskia maumivu ghafla then linaacha,ni kama vile linataka ingia ndani.Ni ugonjwa gani huu? umesababishwa na nini? na nini tiba yake ya dharula kabla sjaenda hospitali.Nisaidieni jamani