Siyo story, ni kweli...

Siyo story, ni kweli...

Baba 1 alikuwa anaosha gar lake jipya,mwanae mdogo 5yrs old akalichora hilo gari ubavuni na jiwe.Baba alivyomwona mtoto anachora akakurupuka na kumbana mkono kwa pkaiz ikapelekea vidole 3 kuharibika.Wakiwa hospital mtoto akatakiwa akatwe vidole vile 3,mtoto akamwangalia baba yake,akamuuliza vitarudi tena?Baba akaumia sana,akarudi kwenye gari aone mtoto kachora nini,kakuta mtoto kaandika Dady i love you.kanuni ya maisha ni watu watu wapendane na vitu vitumiwe.lkn tatizo la walimwengu wa leo,wanapenda vitu kuliko watu.
Wana JF alichofanya huyu mdingi ni kizur?

Huyo dogo alipelekwa hospital gani mkuu?Nina shida na hivyo vidole ujue.
 
Huyo baba kaandikisha maelezo polisi ama bado? mana huyu motto anakatwa vidole bila form ya polis, ni kinyume na taratibu. Ni wapi huko ili turekebishe hilo mkuu
 
Baba 1 alikuwa anaosha gar lake jipya,mwanae mdogo 5yrs old akalichora hilo gari ubavuni na jiwe.Baba alivyomwona mtoto anachora akakurupuka na kumbana mkono kwa pkaiz ikapelekea vidole 3 kuharibika.Wakiwa hospital mtoto akatakiwa akatwe vidole vile 3,mtoto akamwangalia baba yake,akamuuliza vitarudi tena?Baba akaumia sana,akarudi kwenye gari aone mtoto kachora nini,kakuta mtoto kaandika Dady i love you.kanuni ya maisha ni watu watu wapendane na vitu vitumiwe.lkn tatizo la walimwengu wa leo,wanapenda vitu kuliko watu.
Wana JF alichofanya huyu mdingi ni kizur?

Ni story tu yenye mafunzo (kuthamini utu zaidi ya vitu) km zingine, km unasema ni kweli weka picha tuone.
 
Story ya kweli?Imetokea
wapi?Mtoto anaitwa nani?Baba anaitwa nani?wanakaa wapi?Je,mtoto alikatwa
kweli?,Km alikatwa hali yake ikoje sasa?Imetokea lini?Anatibiwa au
ametibiwa hosp gani?

kuna sehemu yoyote tukio hili liliporipotiwa?hatua gani za kisheria zimechukuliwa?
mtoa mada amemsaidiaje mtoto aliyepata matatizo?ameripoti polisi kwa hatua nyingine zaidi?
 
Huyo mdingi ana akili za kiChAaDeMu upande wa BaVichaa.
 
Wazazi yatupasa kufikiri kabla ya kutenda.Subira yavuta heri.
 
Weka pcha acha uzuxh bhana hatuwez kuamin kirahs ka unavyofikiria kamwe haitokei Eboo
 
Baba 1 alikuwa anaosha gar lake jipya,mwanae mdogo 5yrs old akalichora hilo gari ubavuni na jiwe.Baba alivyomwona mtoto anachora akakurupuka na kumbana mkono kwa pkaiz ikapelekea vidole 3 kuharibika.Wakiwa hospital mtoto akatakiwa akatwe vidole vile 3,mtoto akamwangalia baba yake,akamuuliza vitarudi tena?Baba akaumia sana,akarudi kwenye gari aone mtoto kachora nini,kakuta mtoto kaandika Dady i love you.kanuni ya maisha ni watu watu wapendane na vitu vitumiwe.lkn tatizo la walimwengu wa leo,wanapenda vitu kuliko watu.

Wana JF alichofanya huyu mdingi ni kizur?

Mh! Mkuu hii ni balaa nimesoma hadi nikahisi kama tumboni kumepita kaubaridi. Huyo dogo sijui atamwonaje mzee wake? Swali la kujiuliza. Alikosa fimbo ya kumchapa? hata kutumia mkono? Huyo mzee kwa alichokifanya kuna uwezekano mkubwa kama angekuwa na cha moto karibu angempiga Shaba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom