Siyo mpaka umvue Pichu.

Siyo mpaka umvue Pichu.

hahaa wewe anzisha tu then ni tag usisahau " kumtag na mtoa mada " huwaga anakuwa na picture nyingi mnooo za minyegesho
Kabisa asinisahau kunitag niende nikauchafue uzi wake kwa picha za watoto wakaleeee
 
Watoto si wa naenda shule,week wanaenda kucheza,wa naenda kwa bibi yao , kwangu bado maeneo muhimu na game zinapigika
Bibi yuko mkoani mkuu alafu na uzao wenyewe ni huu wa kuhamasishana unategemea nini mkuu?
 
Ni kweli pia muhim kubadili style hata kama ni kitandan,sio kila cku kifo cha mende au tax to Soweto...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom