Joshua justine
JF-Expert Member
- Sep 1, 2021
- 792
- 1,007
Watu wengi wanatafsiri maandiko vibaya na kupotea kwa kuelewa vibaya ; ni kweli imeandikwa kuwa ile siku na ile saa hakuna anaeijua ila MUNGU Mwenyewe lakini hiyo haimaanishi wiki , wala mwezi , wala mwaka wala muongo wala karne. Tunaweza tukajua kabisa kwamba kiama kimekaribia ila hatutaijua tu siku.
Mbona hata kifo cha mtu binafsi Mwenyezi Mungu humpa mtu mhusika na wanaomzungula dalili kwamba mtu huyo karibu anafariki.
Kama ni wagonjwa huanza kuaga ama kutoa wosia, lakini kuna wagonjwa wengine hawajisikii kutoa wosia hata kama wamezidiwa vipi na utashangaa wanapona baadae, wazee wengi wakikiona kifo kimekaribia huwa nao wanajua na kuanza kufanya mambo yanayoashiria kuaga wanaobaki, kwa hiyo ni kawaida MUNGU kutuonyesha mwisho wetu iwe ni mtu mmoja mmoja ama dunia nzima japo hakuambii ni siku ipi hasa.
Ndio maana maandiko yanaongelea " SIKU ZA MWISHO" , Ni MUNGU anaetueleza dalili zote za siku za mwisho, ina maana haji tu kutushtukiza na ile siku ya kiama ili wote tupotelee motoni milele, tunaweza kujua kama vile mtu anapoona karibu anakufa anavyojua, tunaweza kuzijua siku kuwa zimekwisha sasa.
Tazama hiyo volcano uone picha ya ziwa la moto wa milele itakavyokuwa. Mungu anatumia mifano kutupa picha wanadamu maana muda umeisha tumeambiwa maneno hatuelewi, sasa anatumia model kutueleweaha lakini wapi, watu hawanahabari ndio wanajiselfie pale na kuondoka zao, hakuna kitu wanasemse kabisa. Lakini matukio hayo sio insignificant kabisa, yana logic yake mwenyezi Mungu anapoyaruhusu.
Mbona hata kifo cha mtu binafsi Mwenyezi Mungu humpa mtu mhusika na wanaomzungula dalili kwamba mtu huyo karibu anafariki.
Kama ni wagonjwa huanza kuaga ama kutoa wosia, lakini kuna wagonjwa wengine hawajisikii kutoa wosia hata kama wamezidiwa vipi na utashangaa wanapona baadae, wazee wengi wakikiona kifo kimekaribia huwa nao wanajua na kuanza kufanya mambo yanayoashiria kuaga wanaobaki, kwa hiyo ni kawaida MUNGU kutuonyesha mwisho wetu iwe ni mtu mmoja mmoja ama dunia nzima japo hakuambii ni siku ipi hasa.
Ndio maana maandiko yanaongelea " SIKU ZA MWISHO" , Ni MUNGU anaetueleza dalili zote za siku za mwisho, ina maana haji tu kutushtukiza na ile siku ya kiama ili wote tupotelee motoni milele, tunaweza kujua kama vile mtu anapoona karibu anakufa anavyojua, tunaweza kuzijua siku kuwa zimekwisha sasa.
Tazama hiyo volcano uone picha ya ziwa la moto wa milele itakavyokuwa. Mungu anatumia mifano kutupa picha wanadamu maana muda umeisha tumeambiwa maneno hatuelewi, sasa anatumia model kutueleweaha lakini wapi, watu hawanahabari ndio wanajiselfie pale na kuondoka zao, hakuna kitu wanasemse kabisa. Lakini matukio hayo sio insignificant kabisa, yana logic yake mwenyezi Mungu anapoyaruhusu.