Sixtus Mapunda (Katibu Mkuu UVCCM) amvaa Lema Arusha

Sixtus Mapunda (Katibu Mkuu UVCCM) amvaa Lema Arusha

Hivi alikuja na kiporo cha ile pilau ya Mboni?

Aaaah! aaaah! kuna ya juzijuzi pale kilombero walikuwa wametandaza chini wanaarusha wakaisusia!! Naona wamekuja na plan B baada ya kuona mshina ya chadema yamejaa Arusha. Ukichunguza utagundua hapo jirani kuna la chadema ndio sijui wanapambana!! Wakiona la shina la chadema wanajikusanya wawili watatu wanajenga hapo pembeni.
 
NACHUKUA NAFASI HII KUTANGAZA RASMI kwamba ARUSHA HAKUNA CCM , SIXTUS AHOJIWE NA LUMUMBA KWA KUTAPANYA RASILIMALI ZA CHAMA CHAKE KIZEMBE HUKU AKIJUA WAZI KWAMBA ARUSHA HAKUNA CCM .
 
Hivi tarehe 30 june 2014 haijafika?? Ule mkutano wa Kinana viwanja vyaSamunge Arusha ilikuwaje akaingia mitini? Huyu Mapunda ni dogo sana kwa Arusha. Kwanza sio size ya Lema.
 
afungua mashina ya vijana wa CCM jimbo zima,,,awahasa vijana na Wanaarusha kutorudia makosa,nijukumu lao kuchagua mtu anaetafuta makosa ili alalamike ama kuchagua anaetatua makosa ili wapate maendeleo

asema ;"yakowai mabwawa yasamki ambayo Lema aliahidi kwa vijana? na mitaji yakupata leseni za utalii?,,kasahau sasa anabaki analalamika tu serikali ya CCM kumkwamisha, kwani wakati anaahidi ili mumchague hakujua kuwa CCM itashinda zaidi?asitafute sababu,,mwambieni atekeleze ahadi zake,,

lasivyo 2015 kichapo.."

Labda akamvaa kikwete na Kinana maana ndiyo level yake but Lema ni Next level... Mbulula nyie
 
afungua mashina ya vijana wa CCM jimbo zima,,,awahasa vijana na Wanaarusha kutorudia makosa,nijukumu lao kuchagua mtu anaetafuta makosa ili alalamike ama kuchagua anaetatua makosa ili wapate maendeleo

asema ;"yakowai mabwawa yasamki ambayo Lema aliahidi kwa vijana? na mitaji yakupata leseni za utalii?,,kasahau sasa anabaki analalamika tu serikali ya CCM kumkwamisha, kwani wakati anaahidi ili mumchague hakujua kuwa CCM itashinda zaidi?asitafute sababu,,mwambieni atekeleze ahadi zake,,

lasivyo 2015 kichapo.."

Nliwahi kusikia tetesi kua wewe ni goli la nje la Mr. Fastjet, naanza kuamini amini
 
Huo ufunguzi wa matawi ulihudhuriwa na watu wangapi? Aibu tupu.

Tiba

kaka hiki ni kichekesho. Miaka zaidi ya 50 bado wanafungua mashina na matawi na wapinzani wafungue nini?
 
kwanini wanatoa posho kwa ubaguzi uvccm,vijana wengine wamenyimwa pesa kule arumeru na wengine wanapewa
 
kaka hiki ni kichekesho. Miaka zaidi ya 50 bado wanafungua mashina na matawi na wapinzani wafungue nini?

Eti Bwana? Halafu umeona kuna watu wangapi kwenye ufunguzi wenyewe? Kwa kuficha aibu wanaikuza picha ili tusione kwamba walikuwa hawazidi watu wazima 15. Hii ni aibu kwa hicho kinachojiita chama tawala.

Tiba
 
afungua mashina ya vijana wa CCM jimbo zima,,,awahasa vijana na Wanaarusha kutorudia makosa,nijukumu lao kuchagua mtu anaetafuta makosa ili alalamike ama kuchagua anaetatua makosa ili wapate maendeleo

asema ;"yakowai mabwawa yasamki ambayo Lema aliahidi kwa vijana? na mitaji yakupata leseni za utalii?,,kasahau sasa anabaki analalamika tu serikali ya CCM kumkwamisha, kwani wakati anaahidi ili mumchague hakujua kuwa CCM itashinda zaidi?asitafute sababu,,mwambieni atekeleze ahadi zake,,

lasivyo 2015 kichapo.."
attachment.php



Hao watoto nao ni wanachamaa?
 
Dahh anajaribu maji ya bahari? Tusubiri tuone mbio za sakafuni hizi.
 
afungua mashina ya vijana wa CCM jimbo zima,,,awahasa vijana na Wanaarusha kutorudia makosa,nijukumu lao kuchagua mtu anaetafuta makosa ili alalamike ama kuchagua anaetatua makosa ili wapate maendeleo

asema ;"yakowai mabwawa yasamki ambayo Lema aliahidi kwa vijana? na mitaji yakupata leseni za utalii?,,kasahau sasa anabaki analalamika tu serikali ya CCM kumkwamisha, kwani wakati anaahidi ili mumchague hakujua kuwa CCM itashinda zaidi?asitafute sababu,,mwambieni atekeleze ahadi zake,,

lasivyo 2015 kichapo.."
Hayo maneno utakuwa umemlisha, mana mgoni huyo hajui hata kuongea.

Sijui alikuwa anatetemekaje...

Maccm aibu sana. Ma vijana yamekaa Ki ufisadi ufisadi tu.
 
CCM ina vijana wengi sana wasomi na weledi!!! Bravo katibu wa uvccm
Vijana wa ccm wachovu na wenye njaa kali na ndio maana hawawezi kujenga hoja, kazi yao ni kitetea ufisadi ili wapate posho.
 
kwanini wanatoa posho kwa ubaguzi uvccm,vijana wengine wamenyimwa pesa kule arumeru na wengine wanapewa

Kwi! Kwi! Kwiiii ! Mtaparurana sana mwaka huu , kwanini wewe ulikuwemo kwenye msafara wa kinana wakati MSALANI ALIPIGWA CHINI ?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom