MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,279
Lema hana chake tena Arusha, Uongo wote aliotuahidi tumemsamehe na tumemuachia Mungu! Sasa tunasubiri uchaguzi ili tumpige chini!
Lema hana chake tena Arusha, Uongo wote aliotuahidi tumemsamehe na tumemuachia Mungu! Sasa tunasubiri uchaguzi ili tumpige chini!
Mi naona arusha mbunge yupo ILA nchi ndiyo haina rais
ukitaka uthalilike pambana na Lema Arusha. kwa Arusha Lema ni kama Obama hana wa kumlinganisha naeafungua mashina ya vijana wa CCM jimbo zima,,,awahasa vijana na Wanaarusha kutorudia makosa,nijukumu lao kuchagua mtu anaetafuta makosa ili alalamike ama kuchagua anaetatua makosa ili wapate maendeleo
asema ;"yakowai mabwawa yasamki ambayo Lema aliahidi kwa vijana? na mitaji yakupata leseni za utalii?,,kasahau sasa anabaki analalamika tu serikali ya CCM kumkwamisha, kwani wakati anaahidi ili mumchague hakujua kuwa CCM itashinda zaidi?asitafute sababu,,mwambieni atekeleze ahadi zake,,
lasivyo 2015 kichapo.."
Nliwahi kusikia tetesi kua wewe ni goli la nje la Mr. Fastjet, naanza kuamini amini