KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,884
- 40,053
Hvi darasa la nne wamemaliza mtihani wao wa mock?
Uandishi wa kizamani sana huu.. yaani wewe kama ingekua mashairi tungekuweka kundi la wale MAVINA....... kichwa hakisadifu yaliyondani... story imekosa mshikamano... umeanza kama habari kumbe nihadithi... tuliza akili
.
Habari wakuu...
Ngoja nifute machozi...kidogo...
nakumbuka ilikuwa jumapili moja tulivu ndani ya viunga vya Coco beach...nikiwa nimetulia kwenye moja ya mawe yaliyopo pale beach huku nikatafakari kwa kina mustakabali nchi yetu changa...ghafla nikahisi kama kuna mtu anakuja kwa nyuma yangu...sikutilia mkazo kwa kuwa watu walikuwa ni wengi sana..so nikajua ni wapita njia wengine..tu...lakini vile vishindo vya miguu vinazidi kuongezeka kuelekea upande wangu....nikaona ngoja niangalie nani huyo anayekuja...upande wangu...?
Laaa haulaaa...nilichokiona sikuamini macho yangu....alikuwa ni binti mrembo aliyevaa bikini nyeupe....huku akiwa ameshika mapira mawili ya kuogelea....kufumba na kufumba na kufumbua huyu hapa mbele yangu...nikasikia sauti line sana ikipenya kwenye maskio yangu....
.....itaendelea........
join teamgym.com ..unaweza pata mafuta ya kichina ukipaka ndani ya wiki 2 2 johncena cha mtoto
watu wengine wanakela kama chupi za mitumba.
Habari wakuu...
Ngoja nifute machozi...kidogo...
nakumbuka ilikuwa jumapili moja tulivu ndani ya viunga vya Coco beach...nikiwa nimetulia kwenye moja ya mawe yaliyopo pale beach huku nikatafakari kwa kina mustakabali nchi yetu changa...ghafla nikahisi kama kuna mtu anakuja kwa nyuma yangu...sikutilia mkazo kwa kuwa watu walikuwa ni wengi sana..so nikajua ni wapita njia wengine..tu...lakini vile vishindo vya miguu vinazidi kuongezeka kuelekea upande wangu....nikaona ngoja niangalie nani huyo anayekuja...upande wangu...?
Laaa haulaaa...nilichokiona sikuamini macho yangu....alikuwa ni binti mrembo aliyevaa bikini nyeupe....huku akiwa ameshika mapira mawili ya kuogelea....kufumba na kufumba na kufumbua huyu hapa mbele yangu...nikasikia sauti line sana ikipenya kwenye maskio yangu....
.....itaendelea........
Bange mbaya sana!!!