johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,975
Ukiangalia watu wetu wengi hapa nyumbani barakoa wanayo moja kuna wakati anaivaa na wakati mwingine anaivua na kuiweka ama mfukoni au kwenye pochi.
Wale wanaotumia za " kujishonea wenyewe" ndio shida zaidi kwa sababu haifuliwi hadi week end.
Kwa utamaduni huu usitegemee watu hawa kuhoji chochote kuhusu ubora na uhalali wa chanjo.
Wao watang'ang'ania tu waletewe chanjo wakiamini kuwa ndio muarobaini wa Corona.
Maendeleo hayana vyama!
Wale wanaotumia za " kujishonea wenyewe" ndio shida zaidi kwa sababu haifuliwi hadi week end.
Kwa utamaduni huu usitegemee watu hawa kuhoji chochote kuhusu ubora na uhalali wa chanjo.
Wao watang'ang'ania tu waletewe chanjo wakiamini kuwa ndio muarobaini wa Corona.
Maendeleo hayana vyama!