Isp wako wengi sana sioni haja ya kuminyana na hao wavimba macho wa vietnamni kwetu sote,once hiyo meseji ukiipata huwa zimeongozana na hiyo ya umebakiwa na 0,nchi yetu tu mayatima serikali haina msaada wowote kwahaya tunayofanyiwa na mitandao...
Tatizo la ttcl coverage yao ni ndogo sana, ukiwa center ni wazuri lakini ukitoka nje hata kilomita mbili tu hamna mtandaohamia ttcl ,elfu 3 unapata 4gb kwa siku 30
2014 nilichukua special namba kwa 60,000 na modem 60,000 jumla 120,000. ndani ya miezi kadhaa nikagundua nimeingia choo cha kike nikamwaga manyanga na kuachana nao, wana stability ya internet na coverage kubwa lakini hawakunishawishi nibaki kwaoJamani labda inawezekana hii issue inatokea kwangu tu, mnisaidie nijue...yan ikitokea halotel wanakutumia sms kwamba salio la MB zako ni 5, within a seconda wanatuma "hauna salio la MB"...ni kweli mb5 zinaweza katika within 1 or 2 seconds?