Siwaelewi Engineers wa Tanzania, hasa Civil Engineers

Siwaelewi Engineers wa Tanzania, hasa Civil Engineers

The Evil Genius

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
6,151
Reaction score
20,065
Habari ya week end wakuu.

Kwanza naomba kukiri kua kusomea uinjia wowote ninkazi ngumu sana.

Ila mimi binafsi hua siwaelewi mainjinia wa kitanzania hasa civil engineers, hawa wanaohusika na ujenzi wa mabarabara na majengo.

Sijui ni uwezo wao wa kufikiri mdogo au wana matatizo gani, sina wamshaka ndio maana miradi mingi ya ujenzi ya kuvutia na kupendeza inajengwa na wakandarasi wa nje ya nchi.

Tatizo langu hasa liko kwenye barabara hasa za Dar es salaam na mikoa mingine, hawa civil enginerrs sio wabunifu kabisa, hawafikirii mbele na hawaoni picha nzima ya miradi yao ya hovyo wanaoijenga.

Nimeweka sketch map ya Barabara ya Chang'ombe kama mfano kuonyesha jinsi gani nawadharau hawa watu. Mimi sio injinia ila wangeniuliza mimi ningefanya vizuri kuliko wao.

20170909_074502.png

Kwa nini gari inayotoka Tazara, lazima ifike point X ndio iende Ilala na Magomeni, kwa nini wasingechepusha njia kwenye pont A gari zote zinazoenda Ilala au magomeni zipite hapo na zisifike point X kisha ziende Ilala

Like wise gari za kutoka Posta au Kariakoo kwenda Chang'ombe na Temeke kwa nini zifike point X kisha ziende Temeke, kwa nini wasingetengeneza barabara ya kuzipitisha hapo kwenye point C.

Vile vile zinazotoka Ilala kwenda posta, kwa nini zifike point X ambapo ni makutano, kwa nini hawakutengeneza barabara hapo point B.

Foleni nyingi Jiji la Dar zimesababishwa na poor construction and designing toka kw ahawa mainjinia wetu. Hata mtu asie injinia anaona kabisa hawa watu hawako sawa.

Kwa kweli mimi nachelea kusema kua nawadharau sana. Mtanisamehe kw ahilo.
 
Una uhakika kwamba kila design ya barabara za Dar wamefanya wahandisi watanzania?

Sent using Jamii Forums mobile app
Huna hoja, kama wamefanya it's too poor, hawajafanya kwanini hawajafanya uzembe, hawajui au hawaaminiki, generally wanatakiwa kuhama kwenye uinjinia wa vitabuni waje kwenye vitendo, ni wapuuzi kuuanzia walimu wao na wao walio soma..! Visingizio kibao ni ujinga sijaona engineer aliyekwenda serikalini kuomba apewe kujenga daraja akanyimwa shida wameunda vikampuni uchwara kuombea tender ili wauze kazi kwa wahindi, wachina na wazungu Afrika must work up..!
 
Ni idea nzuri ila unakuta wakati mwingine unapotaka wachepushe ni ardhi ya mtu. Unajua hizi barabara zilikuwa designed na kutengenezwa zamani. Kwahiyo traffic ya magari haikuwa kubwa. Hizi ni barabara zipo tangu enzi za ukoloni.

Kuhusu barabara kujengwa na wageni si kwamba wahandisi wa hapa hawana ujuzi..makampuni ya kigeni yanakuwa na pesa ya.kuweza kujenga mradi tofauti na kampuni za kitanzania.Hata hivyo bado hayo makampuni ya kigeni yanatumia wataalamu wakitanzania kutekeleza hiyo miradi. Mara nyingi unapoona mambo yameenda isivyo so tatizo la utaalamu ila ukiukwaji wa maadili ya kazi kwasababu ya njaa ya watanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii design yako ime-apply kwenye makutano ya barabara za Tabata na Mandela. Wanaokwenda Tabata wakitokea Buguruni wanachepuka kabla ya kifika mataa kea kutunia service road. Ingawa service road ilikuwepo siku zote isingeweza kupita maana ungetozwa fine na traffic. Waliporuhusu magari kupita siku hizi mambo yalikuwa mazuri kiasi kwamba unajiuliza kwanini walikuwa wamechelea kufanya haya maamuzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu utafanyaje kaz vizur kama wakina bashite kaz kuingiza siasa kwenye mirad ya maendeleo. Et mkuu wa mkoa anasema hii lami mbona haijaiva vizuri fumueni hapa mrudie si ulofa huo

Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app
 
Hii design yako ime-apply kwenye makutano ya barabara za Tabata na Mandela. Wanaokwenda Tabata wakitokea Buguruni wanachepuka kabla ya kifika mataa kea kutunia service road. Ingawa service road ilikuwepo siku zote isingeweza kupita maana ungetozwa fine na traffic. Waliporuhusu magari kupita siku hizi mambo yalikuwa mazuri kiasi kwamba unajiuliza kwanini walikuwa wamechelea kufanya haya maamuzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Jana nimeoita hayo maeneo nimeona. Ile service road zamani ilikua sehemu ya kupaki malori mabovu, sasa naona inatumika. Ni jambo zuri na limepunguza foleni toka Buguruni.

Kwenye hiyo hiyo barabara, kama unatoka Tabata unaenda Ubungo hadi ufike makutano ya barabara kuu ndio uendelee na safari, walishindwa kujenga barabara au mchepuko mada baada tu ya kuvuka reli ikapita nyuma ya ile sheli?

Ndio maana nasema haw mainjinia wetu hakuna kitu
 
Jana nimeoita hayo maeneo nimeona. Ile service road zamani ilikua sehemu ya kupaki malori mabovu, sasa naona inatumika. Ni jambo zuri na limepunguza foleni toka Buguruni.

Kwenye hiyo hiyo barabara, kama unatoka Tabata unaenda Ubungo hadi ufike makutano ya barabara kuu ndio uendelee na safari, walishindwa kujenga barabara au mchepuko mada baada tu ya kuvuka reli ikapita nyuma ya ile sheli?

Ndio maana nasema haw mainjinia wetu hakuna kitu
Huko kote ni makazi ya watu. Labda wabomolewe na kulipwa. Halafu hizi barabara za zamani za mkoloni na huenda wakati huo hatukuwa na ma-engineer.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
fani ya engineering ni ngumu kweri hujakosea, tupe hongera kwanza kwa kujitoa kusomea ili tutatue matatizo yenu.

kuhusu hilo la makutano ya chang'ombe nafkiri ni mradi wa zamani sana huo....enzi za nyerere hakukuwa na magari mengi.
 
Kuna kituko kingine kuko Barabara ya kutoka mwananyamala kwenda Magomeni, hapo studio kuna makutano ya barabara.

Baada ya kuzindua barabara ya mwendo kasi, kama unatokea mwananyamala, uende mbele kidogo baada ya kuvuka taa, ugeuke kisha ndio uunganishe kwenda magomeni au mkwajuni.

Sijui kama wamerekebisha hilo tatizo ila ule ni ujinga na ukosefu wa ubunifu
 
Unajua kuwa injinia siyo tu kuwa na vyeti lazima uwe philosopher mzuri, kujiuliza maswali na kutafuta majibu yake, binafsi wengi wa wataalam wetu wanashindwa hatua ya reasoning, tunazo changamoto nyingi na matatizo lukuki na yanahitaji majibu ila walio wengi hawana uwezo wa kudevelop solutions wapo kusubiri solutions za wanasiasa na kuingilia kufanya kazi km technicians injinia ni lazima awe kichwa haswa kwa mambo reasoning na kutafuta solutions.

Binafsi huwa najiona injinia maana reasoning na kutafuta solutions (concept development), hawa wakwetu kazi kusimamia vibarua kiukweli wanaudhi sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waliofanya design hiyo ni wazungu hao. Halafu tatizo unaliangalia kwa matokeo unayoyaona bila kujua kuna wadau wengi kwenye hili. Na kubwa zaidi ni kwamba mji haujapangwa na miradi.mingine ya barabara inakuwa migumu kutekelezeka. Hapa unaweza hili linahusu wizara ya ardhi pia. Hata kama engineer anafanya design atatumia eneo lililopo na wakati mwingine ndo maana wamelazimika kubomoa nyimba za watu.

Kama mbowe alivyowahi kusema ni kwamba mji wa Dar hauna master plan. Iliyopo kwa mara ya mwisho imefanyika 1978..Sasa unaweza kuona tangia muda huo ni population kiasi gani imeongezeka Dar! Na watu wameongezeka kwa kuishi maeneo yasiyo rasmi..Sasa unaletwa engineer unaambiwa design barabara. Kama siyo kubomolea watu ndo italeta mambo unayolalamikia. Kumbuka pia kwamba mambo mengi yanakwenda kisiasa hata kama kuna haja ya kubomoa suala linaweza kupindishwa. We ona hata wakazi wa mabonze ya mto Msimbazi wanashindwa kuondolewa kwasababu ya kuogopa kunyimwa kura.

Nililotaka kusema matatizo si kwa engineers kama unavyolichukulia kirahisi. Kama master plan ikiwepo inatoa nafasi ya kutosha kea barabara, njia za umeme, maji safi na taka na miundombinu inayotakiwa.

Ukiajaribu kifuatilia kwanini plan haikufanyika ardhi walikuwa wakilalamikia kutokuwa na pesa kwenye hawamu zote zilizopita. Ni pale ikiwepo political will mara nyingi mambo ndo yanaenda.

Mi nilidhani kama serikali ingeweza kutenga 1 trillion kwa ajili ya kuondoa msongamano Dar na hii ikawa project ya miaka 5, kwa maana bajeti ya billion 200 kila mwaka ingwezekana kwa kujenga flyovers kwenye makutano makuu ya barabara kama Ubungo, Tazara, Gerezani, Magomeni, Morroco, Mwenge, Kamata na Fire.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari ya week end wakuu.

Kwanza naomba kukiri kua kusomea uinjia wowote ninkazi ngumu sana.

Ila mimi binafsi hua siwaelewi mainjinia wa kitanzania hasa civil engineers, hawa wanaohusika na ujenzi wa mabarabara na majengo.

Sijui ni uwezo wao wa kufikiri mdogo au wana matatizo gani, sina wamshaka ndio maana miradi mingi ya ujenzi ya kuvutia na kupendeza inajengwa na wakandarasi wa nje ya nchi.

Tatizo langu hasa liko kwenye barabara hasa za Dar es salaam na mikoa mingine, hawa civil enginerrs sio wabunifu kabisa, hawafikirii mbele na hawaoni picha nzima ya miradi yao ya hovyo wanaoijenga.

Nimeweka sketch map ya Barabara ya Chang'ombe kama mfano kuonyesha jinsi gani nawadharau hawa watu. Mimi sio injinia ila wangeniuliza mimi ningefanya vizuri kuliko wao.

View attachment 584605
Kwa nini gari inayotoka Tazara, lazima ifike point X ndio iende Ilala na Magomeni, kwa nini wasingechepusha njia kwenye pont A gari zote zinazoenda Ilala au magomeni zipite hapo na zisifike point X kisha ziende Ilala

Like wise gari za kutoka Posta au Kariakoo kwenda Chang'ombe na Temeke kwa nini zifike point X kisha ziende Temeke, kwa nini wasingetengeneza barabara ya kuzipitisha hapo kwenye point C.

Vile vile zinazotoka Ilala kwenda posta, kwa nini zifike point X ambapo ni makutano, kwa nini hawakutengeneza barabara hapo point B.

Foleni nyingi Jiji la Dar zimesababishwa na poor construction and designing toka kw ahawa mainjinia wetu. Hata mtu asie injinia anaona kabisa hawa watu hawako sawa.

Kwa kweli mimi nachelea kusema kua nawadharau sana. Mtanisamehe kw ahilo.

Unachozungumzia sio civil engineering pekee hapo; town planners na highway engineers pia wanahusika.
Intersection hiyo ipo karibu na reli, hill nalo ni tatizo ambalo solution yako haizingatii.
Miaka kadhaa Jiji walishauriwa waweke tunnel au flyover katka rail crossing wakakataa, eti kwasababu ya gharama (bilioni 10 wakati huo). Wasioona mbele nchi hii ni wengi. Ila wanasiasa wamezidi.
 
Habari ya week end wakuu.

Kwanza naomba kukiri kua kusomea uinjia wowote ninkazi ngumu sana.

Ila mimi binafsi hua siwaelewi mainjinia wa kitanzania hasa civil engineers, hawa wanaohusika na ujenzi wa mabarabara na majengo.

Sijui ni uwezo wao wa kufikiri mdogo au wana matatizo gani, sina wamshaka ndio maana miradi mingi ya ujenzi ya kuvutia na kupendeza inajengwa na wakandarasi wa nje ya nchi.

Tatizo langu hasa liko kwenye barabara hasa za Dar es salaam na mikoa mingine, hawa civil enginerrs sio wabunifu kabisa, hawafikirii mbele na hawaoni picha nzima ya miradi yao ya hovyo wanaoijenga.

Nimeweka sketch map ya Barabara ya Chang'ombe kama mfano kuonyesha jinsi gani nawadharau hawa watu. Mimi sio injinia ila wangeniuliza mimi ningefanya vizuri kuliko wao.

View attachment 584605
Kwa nini gari inayotoka Tazara, lazima ifike point X ndio iende Ilala na Magomeni, kwa nini wasingechepusha njia kwenye pont A gari zote zinazoenda Ilala au magomeni zipite hapo na zisifike point X kisha ziende Ilala

Like wise gari za kutoka Posta au Kariakoo kwenda Chang'ombe na Temeke kwa nini zifike point X kisha ziende Temeke, kwa nini wasingetengeneza barabara ya kuzipitisha hapo kwenye point C.

Vile vile zinazotoka Ilala kwenda posta, kwa nini zifike point X ambapo ni makutano, kwa nini hawakutengeneza barabara hapo point B.

Foleni nyingi Jiji la Dar zimesababishwa na poor construction and designing toka kw ahawa mainjinia wetu. Hata mtu asie injinia anaona kabisa hawa watu hawako sawa.

Kwa kweli mimi nachelea kusema kua nawadharau sana. Mtanisamehe kw ahilo.
Mkuu nafarijika ukisema uhandisi si wote wanaouweza.
Hilo ni pamoja na wewe mwenyewe.
Ni mtu mwenye IQ ndogo anaye generalise, ili aonyeshe tatizo alilo nalo kichwani.

Inaelekea una bifu na uinjinia, pengine ulioutaka lakini ukashindwa kufikia azma hiyo.

Kwanza kabisa tuanze na mchoro wako.
Mataa ya Chang'ombe yako Chang'ombe karibia na Kibasila/Serengeti plant na si hiyo sketch uliyoitoa.
Huo kwanza ni ukosefu wa umakini.
Pili, design ya intersection na traffic load yake si kitu rahisi wewe kukielewa pamoja na incoveniences unazopata.
Je umejiuliza hiyo ardhi ya pembeni ni ya nani?
Na je, ni mainjinia wanaowezesha kupata fedha unazotaka kwa mradi huo?
Ni mtu mpumbavu tu, (na si mjinga) asiyeweza kuelewa the rudiments of planning and project execution.
Inaelekea umepata kagari hivi karibuni, lakini nashangaa unakamiliki vipi wakati basic project formulation/execution huzijui.
Na mkiwa wengi watu kama wewe mnaojitia kuelewa wakati hamuelewi, kwa jiji ka Dsm ni majanga.
Nimeona watu wa aina yako mkireverse into the main road/highway!

Kwa ujinga kama huo ukilaumu mainjinia, unakuwa kama kichaa aliyevaa suti, hata uvaeje waonekana kichaa.
 
Mkuu nafarijika ukisema uhandisi si wote wanaouweza.
Hilo ni pamoja na wewe mwenyewe.
Ni mtu mwenye IQ ndogo anaye generalise, ili aonyeshe tatizo alilo nalo kichwani.

Inaelekea una bifu na uinjinia, pengine ulioutaka lakini ukashindwa kufikia azma hiyo.

Kwanza kabisa tuanze na mcoro wako.
Mataa ya Chang'ombe yako Chang'ombe karibia na Kibasila/Serengeti plant na si hiyo sketch uliyoitoa.
Huo kwanza ninukosefu wa umakini.
Pili, design ya intersection na traffic load yake si kitu rahisi wewe kukielewa pamoja na incoveniences unazopata.
Je umejiuliza hiyo ardhi ya pembeni ni ya nani?
Na je, ni mainjinia wanaowezesga kupata fedha unazotaka kwa mradi huo?
Ni mtu mpumbavu tu, (na si mjinga) asiyeweza kuelewa the rudiments of planning and project execution.
Inaelekea umepata kagari hivi karibuni, lakini nashangaa unakamiliki vipi wakati basic project formulation/execution huzijui.
Na mkiwa wengi watu kama wewe mnaojitia kuelewa wakati hamuelewi, kwa jiji ka Dsm ni majanga.
Nimeona watu wa aina yako mkireverse into the main road/highway!

Kwa ujinga kama huo ukilaumu mainjinia, unakuwa kama kichaa aliyevaa suti, hata uvaeje waonekana kichaa.
Hoja yako ya kwanza haina mashiko, kua na iq ndogo au kubwa hakuhusiani na mtu kua injinia, lakini pia sijazungumzia mainjinia wa fani zote, niko specific na mainjinia uchwara kama wewe wa civil. Zaidi ni kwamba sijawahi kutamani kua injinia, hata kama ningekua nimekosa sifa za kua injinia bado hakuniondolei haki mimi ya kukosoa hovyo hovyo zinazofanywa na mainjinia uchwara kama wewe.

Pili, hoja kwamba mimi siwezi kuelewa hiyo i tersection na traffic yake sio hoja, hujitaji kua jiniasi kiasi hicho kuona ujinga unaofanywa na mainjinia uchwara kama wewe, haihitaji rocket science technology. Mbona tunaona road intersection za nchi nyingine ziko poa, nyie huo ugumu unakua Tanzania tu?

Tatu, hoja ya ardhi pia sio hoja, ardhi kwa sheria za Tanzania ni mali ya serikali, wengine wote ni wapangaji. So kunapotokea maslahi ya taifa mmiliki yoyote wa ardhi serikali inaweza kuichukua na huyo mmiliki akapewa ardhi nyingine.

Mwisho, hoja ya mimi kua na kagari haina mashiko. Huhitaji kua na gari ili uone uharo unaofanyika kutoka kwa nyie mnaojiita mainjinia.

Kwa kukusaidia, jitahidi ujifunze jinsi ya kujenga hoja, achana na character assasination.
 
Mtoa mada were ni mpuuzi Fulani unaejiona una akili..Kazi ya design unafanywa kwa kufuata masterplan so kwa kipindi hicho ilionekana inafaa uwe hivyo,by the way watu wa ardhi wangetimiza wajibu wao nchi isingekuwa hovyohivyo na wa kulaumiwa sio wahandisi
 
Hoja yako ya kwanza haina mashiko, kua na iq ndogo au kubwa hakuhusiani na mtu kua injinia, lakini pia sijazungumzia mainjinia wa fani zote, niko specific na mainjinia uchwara kama wewe wa civil. Zaidi ni kwamba sijawahi kutamani kua injinia, hata kama ningekua nimekosa sifa za kua injinia bado hakuniondolei haki mimi ya kukosoa hovyo hovyo zinazofanywa na mainjinia uchwara kama wewe.

Pili, hoja kwamba mimi siwezi kuelewa hiyo i tersection na traffic yake sio hoja, hujitaji kua jiniasi kiasi hicho kuona ujinga unaofanywa na mainjinia uchwara kama wewe, haihitaji rocket science technology. Mbona tunaona road intersection za nchi nyingine ziko poa, nyie huo ugumu unakua Tanzania tu?

Tatu, hoja ya ardhi pia sio hoja, ardhi kwa sheria za Tanzania ni mali ya serikali, wengine wote ni wapangaji. So kunapotokea maslahi ya taifa mmiliki yoyote wa ardhi serikali inaweza kuichukua na huyo mmiliki akapewa ardhi nyingine.

Mwisho, hoja ya mimi kua na kagari haina mashiko. Huhitaji kua na gari ili uone uharo unaofanyika kutoka kwa nyie mnaojiita mainjinia.

Kwa kukusaidia, jitahidi ujifunze jinsi ya kujenga hoja, achana na character assasination.
Mkuu unakigari uchwara kama kopo na ni9na uhakika hakizidi cc 2500(ingawaje unanekana kama una kispacio), halafu wajidai kuwa na akili ya kuwa challenge mainjinia!

Hicho kigari kisikupe kiburi cha kujifanya wajua design za brabara, funding na maintainance yake.
Mtu umetoka kwenye daladala juzi, leo una design barabara za kufikirika.
 
Ni hivi mtoa mada left turn zote ni free hautakiwi kukaa kwenye mataa kusubilia taa yako iwake ,ndio maana kwenye junction zilizo nyingi kuna kuwa na special lane ambayo inaruhusu magari yanayo turn left yachepuke na yasikae kwenye foleni ni junction chache sana ambazo hakuna hizo lanes tunaziita minor junctions so mtoa mada pita pale tazara au Ubungo utakuta provision ya left turn .
 
Back
Top Bottom