The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 6,151
- 20,065
Habari ya week end wakuu.
Kwanza naomba kukiri kua kusomea uinjia wowote ninkazi ngumu sana.
Ila mimi binafsi hua siwaelewi mainjinia wa kitanzania hasa civil engineers, hawa wanaohusika na ujenzi wa mabarabara na majengo.
Sijui ni uwezo wao wa kufikiri mdogo au wana matatizo gani, sina wamshaka ndio maana miradi mingi ya ujenzi ya kuvutia na kupendeza inajengwa na wakandarasi wa nje ya nchi.
Tatizo langu hasa liko kwenye barabara hasa za Dar es salaam na mikoa mingine, hawa civil enginerrs sio wabunifu kabisa, hawafikirii mbele na hawaoni picha nzima ya miradi yao ya hovyo wanaoijenga.
Nimeweka sketch map ya Barabara ya Chang'ombe kama mfano kuonyesha jinsi gani nawadharau hawa watu. Mimi sio injinia ila wangeniuliza mimi ningefanya vizuri kuliko wao.
Kwa nini gari inayotoka Tazara, lazima ifike point X ndio iende Ilala na Magomeni, kwa nini wasingechepusha njia kwenye pont A gari zote zinazoenda Ilala au magomeni zipite hapo na zisifike point X kisha ziende Ilala
Like wise gari za kutoka Posta au Kariakoo kwenda Chang'ombe na Temeke kwa nini zifike point X kisha ziende Temeke, kwa nini wasingetengeneza barabara ya kuzipitisha hapo kwenye point C.
Vile vile zinazotoka Ilala kwenda posta, kwa nini zifike point X ambapo ni makutano, kwa nini hawakutengeneza barabara hapo point B.
Foleni nyingi Jiji la Dar zimesababishwa na poor construction and designing toka kw ahawa mainjinia wetu. Hata mtu asie injinia anaona kabisa hawa watu hawako sawa.
Kwa kweli mimi nachelea kusema kua nawadharau sana. Mtanisamehe kw ahilo.
Kwanza naomba kukiri kua kusomea uinjia wowote ninkazi ngumu sana.
Ila mimi binafsi hua siwaelewi mainjinia wa kitanzania hasa civil engineers, hawa wanaohusika na ujenzi wa mabarabara na majengo.
Sijui ni uwezo wao wa kufikiri mdogo au wana matatizo gani, sina wamshaka ndio maana miradi mingi ya ujenzi ya kuvutia na kupendeza inajengwa na wakandarasi wa nje ya nchi.
Tatizo langu hasa liko kwenye barabara hasa za Dar es salaam na mikoa mingine, hawa civil enginerrs sio wabunifu kabisa, hawafikirii mbele na hawaoni picha nzima ya miradi yao ya hovyo wanaoijenga.
Nimeweka sketch map ya Barabara ya Chang'ombe kama mfano kuonyesha jinsi gani nawadharau hawa watu. Mimi sio injinia ila wangeniuliza mimi ningefanya vizuri kuliko wao.
Kwa nini gari inayotoka Tazara, lazima ifike point X ndio iende Ilala na Magomeni, kwa nini wasingechepusha njia kwenye pont A gari zote zinazoenda Ilala au magomeni zipite hapo na zisifike point X kisha ziende Ilala
Like wise gari za kutoka Posta au Kariakoo kwenda Chang'ombe na Temeke kwa nini zifike point X kisha ziende Temeke, kwa nini wasingetengeneza barabara ya kuzipitisha hapo kwenye point C.
Vile vile zinazotoka Ilala kwenda posta, kwa nini zifike point X ambapo ni makutano, kwa nini hawakutengeneza barabara hapo point B.
Foleni nyingi Jiji la Dar zimesababishwa na poor construction and designing toka kw ahawa mainjinia wetu. Hata mtu asie injinia anaona kabisa hawa watu hawako sawa.
Kwa kweli mimi nachelea kusema kua nawadharau sana. Mtanisamehe kw ahilo.
