Bibi bomba ongea na wajukuu
Hahahahahahaha .. JF ni shida
Bibi bomba ongea na wajukuu
Habari toka Lumumba zinasema Miss Tanzania mwaka jana ambaye wabongo hawakutaka aende miss world Sitti binti Mtemvu ataongeza nguvu katika wiki moja ya mwisho katika kampeni ya MAMA ONGEA NA MWANAO.
Kuja kwa Sitti kuna ongeza nguvu Zaidi kwa warembo kadhaa wa bongo muvi na bongfleva ambapo wengine ni wema,snura,linah,ray,jb,kajala,aunty,blue,johari,sheattah,shilole,masanja nk.
Kila la kheri kwenye kampeni
Mkimbizi huyooo.hana kitu.
Duh huu uzi akiingia huyo bibi bomba atapata depression
Aah wapi, hao wote walio ndani ya hiyo timu ya Wema hata uwachokonoe kwa kidole ndio kwanza anakaa vyema bila kustuka. Ni magwiji ya kashfa chafu, na wao kusemwa kwa uchafu wao ni ujiko kwao.
Najiuliza CCM mshipa wa fahamu umekatika au umeoza? Kwa mfano mama Samia amekuwa karibu na hawa mabinti kwa takribani miezi miwili, jee kwa bahati mbaya Magufuli anashinda sii tunaweza kuwa na makamu wa Rais ambaye ameshajifunza tabia za Wema au Snura? Huo si ndio mwanzo wa kukuta Ikulu kesi za mara kumgombea Bahressa, au Mengi au Dangote (yule wa Mtwara) maana hiyo ndio level yake? Tukikuta ngumi kati yake na Labda waziri (ke) kumgombea mwingine tutashangaa?
Hawakupaswa hawa vijana wenye historia chafu ya maadili kutumika kwa ukaribu kiasi hicho kwenye kampeni. Huko ni kuishiwa mbinu.
Yule sio mwanae..ni mdogo wake wa mwisho kuzaliwa kwa mamaake mzazi
Habari toka Lumumba zinasema Miss Tanzania mwaka jana ambaye wabongo hawakutaka aende miss world Sitti binti Mtemvu ataongeza nguvu katika wiki moja ya mwisho katika kampeni ya MAMA ONGEA NA MWANAO.
Kuja kwa Sitti kuna ongeza nguvu Zaidi kwa warembo kadhaa wa bongo muvi na bongfleva ambapo wengine ni wema,snura,linah,ray,jb,kajala,aunty,blue,johari,sheattah,shilole,masanja nk.
Kila la kheri kwenye kampeni
Nini faida yake? Badala wahangaikie namna ya kupigania haki miliki wao wanapiga kampeni za chama cha zamani kilichowanyonya.
CHAGUA LOWASSA CHAGUA UKAWA.
Habari toka Lumumba zinasema Miss Tanzania mwaka jana ambaye wabongo hawakutaka aende miss world Sitti binti Mtemvu ataongeza nguvu katika wiki moja ya mwisho katika kampeni ya MAMA ONGEA NA MWANAO.
Kuja kwa Sitti kuna ongeza nguvu Zaidi kwa warembo kadhaa wa bongo muvi na bongfleva ambapo wengine ni wema,snura,linah,ray,jb,kajala,aunty,blue,johari,sheattah,shilole,masanja nk.
Kila la kheri kwenye kampeni
Habari toka Lumumba zinasema Miss Tanzania mwaka jana ambaye wabongo hawakutaka aende miss world Sitti binti Mtemvu ataongeza nguvu katika wiki moja ya mwisho katika kampeni ya MAMA ONGEA NA MWANAO.
Kuja kwa Sitti kuna ongeza nguvu Zaidi kwa warembo kadhaa wa bongo muvi na bongfleva ambapo wengine ni wema,snura,linah,ray,jb,kajala ,aunty,blue,johari,sheattah,sh ilole,masanja nk.
Kila la kheri kwenye kampeni
Kabisahiii inathibitisha wanaonufaika na ccm wako sisi wengine ni wapagasi wao