dah! we mtu saluti mi sikujua kabisa kwamba hao mabwana ni ma sheASANTE KWA TAARIFA..........tehteh
dah! we mtu saluti mi sikujua kabisa kwamba hao mabwana ni ma sheASANTE KWA TAARIFA..........tehteh
ASANTE KWA TAARIFA..........tehteh
Habari toka Lumumba zinasema Miss Tanzania mwaka jana ambaye wabongo hawakutaka aende miss world Sitti binti Mtemvu ataongeza nguvu katika wiki moja ya mwisho katika kampeni ya MAMA ONGEA NA MWANAO.
Kuja kwa Sitti kuna ongeza nguvu Zaidi kwa warembo kadhaa wa bongo muvi na bongfleva ambapo wengine ni wema,snura,linah,ray,jb,kajala,aunty,blue,johari,sheattah,shilole,masanja nk.
Kila la kheri kwenye kampeni
Haanze kutuaminisha kwanza tarehe yake ya kuzaliwi ni ipi?
Sitti yule kizee cha mwaka 47 au mwingine.
Ukitaja mambo ya umri tu umemkimbiza ! Hivi huyu dada kwanini hataki kutaja umri wake wa halali ?
mwambie aanze kuongea na binti yake aliyemkana, pili atuambie umri wake
Hana ushawishi wowote zaidi ya watu kutaka kujua jinsi ya kufoji umri.
Aende zake bibi Bomba ya kwake tu yamemzidi....hakuna cha mama ongea na bwanako wala nini ni UKAWA tu
Yule bibi bomba?Kila lakheri kachagua fungu lakukosa
yupi huyo?Bibi bomba?
hata mimi nilivyosoma heading tu! nimecheka hadi watu wamenishangaa sikujua kama fisiem wamefilisika kiai hiki!
unaambiwa nusu ajiue alivyokuwa anaona comment za watu kipindi kile sasa karudi tena saa hz atakufa kweli maana watu hawampendi mpaka anajijua!
CCM bhana!! Ndio maana kingunge alisena chama kimeishiwa pumzi!! Hiyo ndio timu ya kuaminisha watu wampigie mtu kura?!
Pesa wanazotumia hapo wangeinvest kwingine ningewaona wa maana sana!
Huyu ni kumfuata tena kule kwenye sociak mediaz tu, na kuanzisha has tag #tuambieumriwako
Bibi Bomba?
dah watu ni balaa, huyo ajuza tena ana impact gani? aanze kuongea na binti yake
ASANTE KWA TAARIFA..........tehteh
Habari toka Lumumba zinasema Miss Tanzania mwaka jana ambaye wabongo hawakutaka aende miss world Sitti binti Mtemvu ataongeza nguvu katika wiki moja ya mwisho katika kampeni ya MAMA ONGEA NA MWANAO.
Kuja kwa Sitti kuna ongeza nguvu Zaidi kwa warembo kadhaa wa bongo muvi na bongfleva ambapo wengine ni wema,snura,linah,ray,jb,kajala,aunty,blue,johari,sheattah,shilole,masanja nk.
Kila la kheri kwenye kampeni
mwambie aanze kuongea na binti yake aliyemkana, pili atuambie umri wake
Sitti yule kizee cha mwaka 47 au mwingine.