RealTz77
JF-Expert Member
- May 18, 2009
- 738
- 40
Mkuu Shaycas
Hapa hatumjadili Sophia Simba kama Mwenyekti wa UWT ya CCM,tunamjadili kama Waziri...haina mahusiano na ujinsia wake.
haya mambo ni Logic tu, kama wanawake wote viongozi wamemchagua awe mkuu wao then wao ndo hawawezi, didnt they saw her as extremely low minded? ana majungu, kusema sema ovyo,nahisi hata ngumi anarushaga yule!so ni failure ya wanawake pia, si tunataka kama wanataka usawa leteni watu bora mbele!