KILLERS KISS GUY
JF-Expert Member
- May 9, 2013
- 718
- 259
tukiacha siasa mh..KIFICHO....aliongoza vizuri kwanza ameweza kuliongoza bunge bila ya kanuni lakini 66666666666666666666666666666666...ana kanuni lakini ana vuruga HELLLLLOOOOOOW TANZANIA
Jamani mnasahau kama wote wawili ni watumwa wa CCM???
Mimi naona Mhe. Kificho aliliendesha bunge maalum kwa umahiri zaidi kuliko mh. Samwel Sitta. mh. Sitta amepoteza ule umahiri wake aliokua nao waqt akiwa spika.