Amesema hayo katika Mahafali ya Darasa la 7 Wilayani Kahama Mkoani Shinyanga kwa Rafiki yake Lembeli. Ambapo aliialikwa kama mgeni Rasmi kwa nafasi yake ya Waziri wa Afrika Mashariki, Amekiri chama kuwa na wala rushwa na Viongozi wasiofanya mamuzi. Source: ITV Habari Asubuhi. Je, ccm inaweza kuzaliwa upya kwa chaguzi za Jumuiya zake mwaka huu, kwa jinsi mchakato wake unavyoendeshwa katika Jumuiya za Uvccm, Wanawake, Wazazi na upatikanaji wa wajumbe wa NEC wilayani? Wana jamvi; Usikibanie ccm maoni yako ili kijue kama hakitazaliwa upya kwenye chaguzi hizi kijaribu tena vua gamba au mkakati mwingine. Karibuni kwa hoja
Analikia urais tu huyo Six, hana jipya! Mbona alitishwa hakuwataja wamiliki wa Dowans, nae ni mnafiki tu! Na CCM yake wameoza wote!