Sitta: Tuheshimu maamuzi ya Mahakama (Igunga)

Sitta: Tuheshimu maamuzi ya Mahakama (Igunga)

nampongeza sana jaji shangali, ametenda haki: huyu mama kule dodoma akipangwa asikilize kesi yako walalahoi wanashangilia maana huwa anasimama katika sheria na kutoa haki kunako haki: mungu ampe maisha marefu ,huwa namfananisha na hayati jaji MWAKASENDO na hayati jaji MWALUSANYA.
 
Nape asizingue mtu hapa. Walikaa lini kikao na nani mwingine wa cc yao kasema hukumu sio sawa. Huyu dogo anapotea.
 
Najisikia kwa mara ya kwanza kukubaliana na mawazo ya Itatiro. Tunatakiwa tuanze kufikiria namna ya kupunguza hizi gharama ambazo kusema kweli zinasababishwa na CCM yenyewe.
 
Nape ni mvivu wa kufikiri na anadhani kuishi katika ndoto kutamsaidia. Hakuna jambo zuri kama kukubali ukweli kwani kufanya hivyo kunampa mhusika fursa ya kujirekebisha kuelekea kwenye tija ya kweli. Wana CCM amkeni kwenye huo usingizi wa pono la sivyo mtailetea nchi matatizo zaidi.
 
Nakupongeza sana Jaji Shangali endelea kusimamia haki ili uendelee kuvuna baraka za Mungu kwani wanaofanya hivyo ni wapenzi wake. Mungu endelea kuwa na watanzania, kwa kutuletea watendaji kama huyu mama. Mungu wengi tunakutegema na kukulilia kwa ajili ya taifa hili ee BWANA. Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika.
 
422257_4474479028848_1359619563_n[1].jpg
uvunjwaji mmoja wa sheria igunga ni hii kitu. acha kabisa kitu kinachoitwa tumbo
 
Najisikia kwa mara ya kwanza kukubaliana na mawazo ya Itatiro. Tunatakiwa tuanze kufikiria namna ya kupunguza hizi gharama ambazo kusema kweli zinasababishwa na CCM yenyewe.

Hiyo itakua mbaya sana hujui ccm wataanza kuua washindi iliwao wachukue kirahisi wakiwa washindi wapili? Never Trust ccm! Never ever!
 
Hiyo itakua mbaya sana hujui ccm wataanza kuua washindi iliwao wachukue kirahisi wakiwa washindi wapili? Never Trust ccm! Never ever!
Hilo nalo nililiwazia ndiyo maana nikasema tu kuwa tuanze kufikiria namna ya kupunguza gharama.
 
Sita sio fisadi Bali no
Msimamia haki sema ni muoga kuhama ccm anaogopa kupelekwa apolo ccm ni Kama Freemasons ukijiunga na kuwa na nafasi Kama ya Sita huwezi Hama na ukihama Wana kukolimba au ulimboka ndio maana Sita anakuwa muoga ila anajisahaugi sometimes anawakosoa Huyu mzee mi safi namshauri asiendelee kujichafulia APo ccm aachane na uwaziri wa ccm abaki na heshima yake namkubali sana Sita kuliko Hata akina Kabwe etc
 
Sitta mnafki sana,ilimkera sana kukosa uwaziri mkuu,kingine kilichomkera alimuomba lowasa mambo wawili,la kwanza kutaka kwenye msafara wake uwe na ving'ola la pili ,alitaka ajengewe ofisi ya bunge yenye hadhi jimboni kwake,lowasa ka mchana live kwamba kwa mujibu wa sheria jumuiya ya madola,hamna kitu kama hicho ving'ola,kwa spika, na la pili kuhusu ofisi akamwambia je akitokea spika mungine, tujenge tena ofisi ya hadhi kubwa? Akakataa,kutokana na uwoga wa pinda miaka 2 tu yake ya mwanzo akamjengea ofisi kubwa huko urambo ya kifisadi,wakawa wanapimana ubavu lowasa na sitta bungeni,mwisho ni kuidhofisha selikali.
 
LOWASA MCHAPAKAZI, angekuwa madarakani mpaka sasa, serikali isingekashifika.
 
Back
Top Bottom