Hata kama aliharibu kwny BMK, tunapaswa kumtendea haki kuwa anaweza kubadili mambo kwa muda mfupi, hata kwny BMK alifanya hivyo. Lakini pia ndiye spika aliyefanya bunge liwe na meno, na kuaminiwa na watz. Ni kiongozi mpambanaji kweli, pengine kuliko wote waliotangaza nia CCM!hahitaji miaka 10 kubadili mambo huyu!
Huyo hastahili hata week tano.