Sitta: Nipeni miaka mitano tu

Sitta: Nipeni miaka mitano tu

Cta yupi tena jamani cpika wa bunge lililopita ama mwenyekiti wa bunge maalum ama huyu mtukana viongozi wa dini 6 yupi hapa
 
Watu wengine wamekosa kazi za kufanya, mzee six ajipumzikie aliyoyafanya kwenye bunge la katiba yanatosha
 
Huo uzoefu wa miaka 30 bungeni mbona hautumii jimboni kwake tukaona hayo mageuzi endelevu?

Ni heri hawa wazee waka kaa pembeni ili fikra mpya zishike hatamu.

They're simply a disgrace to this country maana hakuna cha maana walichofanya kwa miaka yao yote.
 
Baada ya kuchakachua maoni ya wananchi juu ya katiba mpya leo anataka apewe urais? Kweli tuna tatizo la msingi
 
Hata kama aliharibu kwny BMK, tunapaswa kumtendea haki kuwa anaweza kubadili mambo kwa muda mfupi, hata kwny BMK alifanya hivyo. Lakini pia ndiye spika aliyefanya bunge liwe na meno, na kuaminiwa na watz. Ni kiongozi mpambanaji kweli, pengine kuliko wote waliotangaza nia CCM!hahitaji miaka 10 kubadili mambo huyu!

kawadanganye wasiojitambua. kutegemea mabadiliko ndani yaccm ni sawa na kusubiri usafiri wa meli uwanja wa ndege.
 
Kila siku nasema hiki kizazi kilichopigania uhuru bora kipite tu, Leo afadhali ya mkoloni kuliko nyie wazee wetu, mkoloni aliwapa nchi ikiwa na kila kitu, mmeuwa kila kitu,
Wewe mzee bora kapumzike ulime tumbaku tu lakini nchi hii huiwezi, unafiki umekujaa sana
 
Miaka 5 akinogewa ana jigeuza kuwa Nkurunziza wa Tanzania.
 
Back
Top Bottom