kama ukiniambia ni nani ndani ya CCM, mwenye uthubutu wa kubadilisha mfumo wa kiuongozi ni Sitta peke yake. Lakini bahati mbaya na sijui kama ndio kusudi la Mungu, Sitta amejichafua sana alipoingizwa mkenge kwenye swala la katiba. JK ni mtaalamu wa kutega watu na katika suala la katiba amefanikisha kumuingiza mkenge Sitta.
Sitta alitumiwa na chama chake katika suala la katiba maana waliamini ni mtu shujaa na shupavu ambae akiamua kukomalia jambo hamna wa kumuondosha hapo. Sasa anetumiwa tu kama toilet paper na sidhani kama waliomtega watampa walichomwahidi.
CCM kaeni pembeni sasa. Habari ya mjini ni UKAWA. UKAWA ndio jibu la umasikini tuliotengenezewa na mfumoccm.