Kuna makongamano yanaendelezwa na hawa watu vioo vikuu.walianza Moshi wameenda Mzumbe morogoro na sasa week ijayo wako Mbeya na hapa UD naona maandalizi yanafanyika.Jaman wanamaanisha wanachooffanya au kunasiasa za ccm ndan yake.?plz anaejua haya naomba atujuze isijekua ndo mbio za ikulu