chrismanye
New Member
- Jan 14, 2014
- 1
- 0
maneno tuu hoyo wote vibonde tuu
Wimbo; wanawake na maendeleo tufanyekazi tusonge mbele oo! Hv nani aliyeimba huu wimbo, bado ni mwanamuziki? Ooh nimemkumbuka ni...........viti mhimu.
wanajamvi!!
Katika hali yakushangaza na yenye kuchekesha wazir wa afrika mashariki samweli sitta ameanza kuchanganyikiwa na nguvu ya mbunge wa monduli mh Lowassa
Kwenye gazet la leo la raia mwema limeandka sitta amshitaki lowassa na Rostam ccm,ukisoma habar zaid habar ile kwakweli kwa mtu mzma utagunduwa tu mzee huy ameanza kuchanganyikiwa kwan sababu za msingi anasema ni kutokana na matendo yao ya kifisadi na amesha andka barua kwa kweny chama chake ili waweze kuchukuliwa hatu,sasa najiuliza huyu mzee alikuw wp siku zote???au ameona kadri xiku zinapokwenda anazidi kubanwa mbavu kila kukicha,naje kuwashtaki rostam na lowassa kweny chama kwa sababu ambazo hazina msingi zitamletea unafuu wa yeye kuto endelea kubananishwa na nguvu ya lowassa?
Wanaomsupport LOWASA humu JF ni mafisadi wakubwa
Unadhani walimpa hivihivi? mkono mtupu haulambwi! Nenda wewe na umaarufu wako uone kama utapewa uchifu hata kwenye kabila lako!
Umeme umepanda sana bei kwa sababu Sitta akishirikiana na washirika wenzake walishinikiza TANESCO wasilipe shs. bilioni 60 tu kununua mitambo ya Richmond/Dowan na sasa baada ya Symbion kununua mitambo hiyo kwa zaidi ya bilioni 150 na pia TANESCO kuilipa Dowans shs. bilioni 110 kwenye kesi iliyotokana na Sitta et al kukataa mitambo hiyo isinunuliwe, sasa gharama zote hizi zinarudi kwa mlaji wa umeme kwa njia ya bei mbaya ya umeme inayotozwa na Symbion kwa mitambo ile ile iliyoletwa na Richmond. Sitta ni mhujumu uchumi mkubwa! Mnafiki wa kutupwa. HIVI HASARA HIZI MBONA WATETEZI WAKE HAMUMWULIZI???
Ndugu yangu mkono huo huo uliopewa uchifu bado utaendelea kuungwa mkono.
Ndio spika wa bunge aliyeliongoza kwa umahiri, weledi na ufanisi mkubwa katika kujali maslahi mapana ya taifa.Nijulishe hizo mbio alizoshiriki na kuvunja rekodi. Zilfanyika lini,wapi na metre ngapi?
ww mwenyew hapo unaumwa,unatembea tu lakin umeoza,kingne nikwamba unatumika badla yakujitumia!!
Andika hoja!!
nimekwambia Lowasa ni mgonjwa na anaonekana kuwa senile.
Mtetee kwa haya badala ya kuloloma eti ninaumwa, nimeoza, natumika, n.k. nonsense nyingi. Hiyo msg inaeleza lolote hapo. Au unataka wote tuseme Lowasa? Shit!
My brain can't allow such pressurerised stupidity. Unadhani afya ya Lowasa itakuwa nzuri kwa kuwa we umesema? Kwa nini upoteze muda kutetea kichaa? Are you also senile?
Mimi mashaka yapo kwenye hilo gazeti lililoandika hiyo habari yaani RAI hili hili la Rostam rafiki mkubwa wa Lowasa. Sichangii hapo wapambe wa Lowasa wanajichekesha wenyewe...
Umeme umepanda sana bei kwa sababu Sitta akishirikiana na washirika wenzake walishinikiza TANESCO wasilipe shs. bilioni 60 tu kununua mitambo ya Richmond/Dowan na sasa baada ya Symbion kununua mitambo hiyo kwa zaidi ya bilioni 150 na pia TANESCO kuilipa Dowans shs. bilioni 110 kwenye kesi iliyotokana na Sitta et al kukataa mitambo hiyo isinunuliwe, sasa gharama zote hizi zinarudi kwa mlaji wa umeme kwa njia ya bei mbaya ya umeme inayotozwa na Symbion kwa mitambo ile ile iliyoletwa na Richmond. Sitta ni mhujumu uchumi mkubwa! Mnafiki wa kutupwa. HIVI HASARA HIZI MBONA WATETEZI WAKE HAMUMWULIZI???
sitta na mwenzie mwakyembe ndio chanzo cha yote kwa kutafuta kwao sifa za kijinga mpk leo tunalipa umeme bei ya hatari na wakatuondoshea waziri mkuu wetu bora kabisa akaembali atalijua jiji edo boy atakapo chukua nchi 2015
mi wala sibishan na wendawazimu,manake na mi ntaonekna mwenda wazimu,umekuw na hasira utadhan lowassa alishatembea na mama yako akamwacha!!jipange lowassa ndiye rais ajaye hata ubinuke ufurame,habar ya mjin ndio hyoo!!
Unaandika kwa kutumia nini? Lugha gani ni rahisi kwako? Makosa kibao! Uliambiwa Jf ni sehemu ya kujifunza kuandika?
Haya unayoandika unadhani ndo sifa kubwa ya Lowasa? Mfahamu mtu wako usije kuwa unalawitiwa!
You must be the best stupid writer!