Sitta apagawa na nguvu ya Lowassa

Sitta apagawa na nguvu ya Lowassa

Haya yote yanawatoka kwa akili zenu au kwa kulipwa? Nahisi ni dhana kwamba baadaye kichaa huyu atawakumbuka kwa allowance. Munamuita Sitta mzee, Lowasa ni kijana wa nchi gani? Lowasa hata afya ni mbovu.

Hisia yangu ni kwamba wote hawafai hata kuhitaji Urais, ingawa Lowasa anaonekana kama anakuwa senile.

ww mwenyew hapo unaumwa,unatembea tu lakin umeoza,kingne nikwamba unatumika badla yakujitumia!!
 
Sipendi watu wanafiki. Sita ni mnafiki sana, adhabu yake ingetakiwa awe ameshauwawa sana hivi....
 
Sipendi watu wanafiki. Sita ni mnafiki sana, adhabu yake ingetakiwa awe ameshauwawa sana hivi....

mkuu huyo hatakiwi kuuwawa,acha asubir aone jembe lowassa akiapishwa kuwa prezdaaaa
 
Huyu Sitta alipotezea issue ya Richmond akiwa Spika. Sasa kwanini aanze kushtaki uongo? Huyu jamaa hafai kabisa na unafiki wake.
 
Tuseme tu ukweli, katika uzalendo ndani ya Tanzania Lowasa hawezi kusimama na Sita hata kidogo. Ni afadhali CCM wamsimamishe Sita kugombea Urais kuliko Lowasa angalau wananchi watamuelewa...

Hakuna msafi hapo, wote wameiletea Tz rais anayependa kusafiri mara kwa mara.
 
Mimi siyo CCM;

Naweza kumsupport Lowassa kuliko Sitta;

Sitta amejaa unafiki
 
Tuseme tu ukweli, katika uzalendo ndani ya Tanzania Lowasa hawezi kusimama na Sita hata kidogo. Ni afadhali CCM wamsimamishe Sita kugombea Urais kuliko Lowasa angalau wananchi watamuelewa...
Sitta amevunja rekodi.
Spika wa kasi na viwango.
 
Na bado,awamu hii Sitta hadi ataielewa kondoo kwa kijaluo inaitwaje!?
 
Na bado,awamu hii Sitta hadi ataielewa kondoo kwa kijaluo inaitwaje!?

mkuu nasikiaga huwa ana ugonjwa wa kutokwa na jasho kila mahali,sasa waswas wang asije akabanwa mpaka jasho limtoke kule kunakooo.....
 
Back
Top Bottom