OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 437
- Thread starter
- #21
Haya yote yanawatoka kwa akili zenu au kwa kulipwa? Nahisi ni dhana kwamba baadaye kichaa huyu atawakumbuka kwa allowance. Munamuita Sitta mzee, Lowasa ni kijana wa nchi gani? Lowasa hata afya ni mbovu.
Hisia yangu ni kwamba wote hawafai hata kuhitaji Urais, ingawa Lowasa anaonekana kama anakuwa senile.
ww mwenyew hapo unaumwa,unatembea tu lakin umeoza,kingne nikwamba unatumika badla yakujitumia!!