Ng'wanangwa tafuta jukwaa halisi...
Sita abaki CCM mpaka wakati muafaka, unajuaje ataleta mabadiliko akiwa ndani ya CCM? Hatakama ana mpango wa kuhama abaki huko ili asome ramani zote akija kuobuka kuwashambulia anakua na uhakika wa data na hali halisi