Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 19,021
- 9,177
sita hana jpya njaa na ulafi wa madaraka unamsumbua tunajua Sitta ndiye ana engneer mkakati wa kumchafua kapuya kisa kapuya kumpeleka lowasa tabora na kukabidhiwa uchief wa wanyamwez sta akaona amezdiwa kete...anasema lowasa katumia bilioni 7...lowasa kwa sku kuptia hisa zake Vodacom anaingza bilioni 1.2 kwa hyo blion 7 ni pesa ya sku 6 ufsad upo wap tatzo sta anajua kutembea na wake za watu tu ameshndwa kutafta pesa kaishia kulalamika. ..shame n u sta acha unafk
Sipati picha Lowasa akichukua hii nchi itakuwaje, maana anawekeza vya kutosha
kosa la lowasa ni kushare utajiri wake na wananchi?.Pasco, kama kweli wewe ni Mtanzania na unaipenda nchi hii utaomba Lowassa asiwe rais wa nchi hii hata dakika moja. Lakini kama Mwalimu alivyosema "serikali hii (ya kikoloni) isipotusikiliza tutaishitaki kwa malkia, nae asipotusikiliza tutaishitaki Umoja wa Mataifa. Wasipotusikiliza tutashitaki kwa MUNGU".
Lowassa akipata urais Watanzania tutashitaki kwa MUNGU!
sita hana jpya njaa na ulafi wa madaraka unamsumbua tunajua Sitta ndiye ana engneer mkakati wa kumchafua kapuya kisa kapuya kumpeleka lowasa tabora na kukabidhiwa uchief wa wanyamwez sta akaona amezdiwa kete...anasema lowasa katumia bilioni 7...lowasa kwa sku kuptia hisa zake Vodacom anaingza bilioni 1.2 kwa hyo blion 7 ni pesa ya sku 6 ufsad upo wap tatzo sta anajua kutembea na wake za watu tu ameshndwa kutafta pesa kaishia kulalamika. ..shame n u sta acha unafk
Pasco, kama kweli wewe ni Mtanzania na unaipenda nchi hii utaomba Lowassa asiwe rais wa nchi hii hata dakika moja. Lakini kama Mwalimu alivyosema "serikali hii (ya kikoloni) isipotusikiliza tutaishitaki kwa malkia, nae asipotusikiliza tutaishitaki Umoja wa Mataifa. Wasipotusikiliza tutashitaki kwa MUNGU".
Lowassa akipata urais Watanzania tutashitaki kwa MUNGU!
punguza propaganda dogo,six hapo kasema ukweli mtupu