Sitta afunguka kuhusu Bandari

Mara anasema anapumzika siasa mara tena ameanza kumwandikia Majaliwa barua kutaka kuwatetea watu aliowateua yeye kwa kuwaondoa wa Mwakyembe ili wamtafutie ngawira ya kuusakia urais.

Nadhani huyu mzee mboko za baba wa taifa akiwa UDSM zilimtia wazimu, katiba ya watanzania milioni 45 aliipuuza akaitia najisi leo analeta habari ya bodi ya watu kumi aliojifungia akawateua akisaidiana na mwalimu Magreti.

Kapumzike kwenye hilo jumba lako la spika bila uspika usubiri na wewe kutumbuliwa kwa kutumia madaraka yako vibaya.

Kwanza umenikumbusha nikuulize, kwenye ile nyumba ya spika uliyokuwa unaing'ang'ania kule Dar umeishahamako?
 
Imenishangaza sana Mr six kuingilia zama hizi za utawala mpya,better stay cool and watch how men work! bana....!
 
Hakuzungumzia kale kajumba ka spika kule Urambo? na amekwisha hama kwenye nyumba ya spika kweli huyu ndugu yangu?

Nadhani bado atakuwa huko huko kwenye nyumba ya serikali ilyotengwa kwa ajili ya spika wa jamhuri. Tena wasipomwahi atakuwa alishajiuzia kinguvu hiyo nyumba. Wazri unaehusika na majengo ya serikali chukua hatua haraka au tukulilie kwa Magufuli au waziri mkuu uone moto utakaokuwakia.Nina hakika huyu mzee atakuwa na nyumba zake nyingi tu Dar na ahamie huko haraka.
 
Tuliposema hii serikali itaumbuka kuna watu walibisha haya sasa watu wameanza kufunguka.

Niligusia pia "agenda za kisiasa" na "political infuence" na hapa ni dhahiri mojawapo itahusika.

Huu ni mwanzo tu.Tusubiri.
 
Mleta mada siku ingine ukileta mada tafadhali hakikisha imekamilika. Si kila mtu anajua kinachoendelea
 
raha sana kuona watu kama Sitta wanalalama hivi.

tafsiri ni.....wanaisoma namba!

kiaina!
 
why did they keep quiet? by the way for how long was he a minister there?

What about Mwakyembe?
 
Reactions: MTK
Mzee Stta amekamatwa PABAYA.
Utetezi wa Sitta ni dhaifu sana. Ni mwasheria aliyekwajuka. Suala la msingi ni kuchukua hatua(to take action against the vice), siyo kujua tatizo. SITTA na utawala wake walijua tatizo, LAKINI hawakuchukua hatua ili kulinda mali za taifa. Udhaifu wa kutochukua hatua ni prima facie case kuwa Sitta na kundi lake WALIUNGA MKONO UFISADI HUO KWA SABABU WALINUFAIKA NAO. Sitta ni JIPU. We want actions not words. Magufuli/Majaliwa go on. Achana na kelele za vibaka hawa walionufaika na utwala wao wa kifisadi.
 
Reactions: MTK
Six ni mpuuzi mwili mzima; baada ya kuvuruga mchakato wa katiba mpya KIHUNI na kwa KUCHAKACHUA; hakuna hata moja analoweza kusema watu makini wakamsikiliza; hakuna! Likafie mbali huko limwachwe JPM aplay part yake jinsi anavyajua yeye wao walikumbatia uozo now their time is gone watulie wasubiri kunyolewa if necessary!
 
hili zee jizi limefumukia wapi tena..he is trying to raise his ugly head again,..mtu mmoja atuwekee picha yake na yule dogo mwizi wa hsc wakiwa ndani ya business class...
 
Ametoa maelekezo yake na maoni yake jinsi ilivyokuwa na ni muhimu yakaheshimiwa
Kuheshimu maoni ya mtu kama sitta ni sawa na kuzipumzisha akili kwa muda na kujifanya hayawani; Sita hafai hata kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…