Sitta adhalilishwa na wana CCM wenzake Dar

Sitta adhalilishwa na wana CCM wenzake Dar

mr clean

Member
Joined
Jun 19, 2012
Posts
16
Reaction score
1
waziri wa afrika mashariki mh samweli sitta amehujumiwa na viongozi wa ccm tawi la kongowe na kata ya toangoma jimbo la kigamboni katika uzinduzi wa ofisi ya serkali ya mtaa wa kongowe uliofanyika tarehe 11/01/2014,katika sherehe hiyo ambayo Waziri Sitta alikuwa Mgeni rasmi uongozozi wa CCM tawi la kongowe na kata ya toangoma ulisusia sherehe hizo kwa madai MH sitta alialikwa na mwenyekiti wa mtaa huo Ndg Matugula pasipo kufuata taratibu za kichama
hata hivyo baada ya kufanyika uchunguzi toka kwa wanaccm wenyewe ni kwamba viongozi wa ccm wilaya ya temeke waliwazuia viongozi wa kata na tawi wasishiriki katika sherehe hiyo kwa kuwa uongozi wa wilaya unamuunga mkono LOWASA na kwamba kufanya hivyo ni kusaliti Mh Lowasa.katika kutekeleza hujuma hii viongozi hawa wa chama kata ya toangoma na tawi la kongowe waliahidi katika kikao cha maandalizi kuwa watatoa muziki,viti na maturubai lakini mpaka siku ya tukio wakaingia mitini ili kumwaibisha Mh Sitta na mwenyekiti wa mtaa,jambo lililomlazimu mwenyekiti huyu wa mtaa kuomba msaada kwa viongozi wa chadema aliowaalika katika sherehe hiyo na ndiyo waliomsaidia kupata mahitaji waliyogoma kutoa na ndipo sherehe ikafanyika.hata hivyo inadaiwa kuwa viongozi wa ccm tawi la kongowe wamaemtenga mwenyekiti wao wa mtaa kwa sababu hawagawii mapato ya mtaa kwenye chama jambo linalowaudhi.pia wanamshutumu mwenyekiti huyu wa mtaa kwa kupokea michango mingi ya wanachadema ambayo kwa kiasi kikubwa imejenga ofisi hiyo na kwamba anawasikiliza sana viongozo wa chadema kuliko wa ccm kana kwamba chama chao ndicho kinachotawala.mmoja wa mtu wa karibu na viongozi wa ccm alisema,mwenyekiti huyu haelewani na viongozi wake wa ccm kata kwa kuwa aliiangusha kambi ya diwani Mh mikuki wakati wa uchaguzi wa baraza la katiba la wilaya kwa kumpitisha mtu wa chadema na kuwabwaga viongozi wa chama hicho akiwemo katibu wa kata hiyo.kama haitoshi walihujumu mpaka chakula na kupika kibichi na mwisho wa picha viongozi wa ccm wakaiba mchele kilo 30 zilizosalia na mafuta lita 20,wakasepa nayo.
mpka sherehe inaanza hapakuwepo na viongozi wa tawi,kata wala wanachama wa mtaa wa kongowe mwishoni baada ya mgenei rasmi MH SITTA kumaliza kujibu risala ndipo aliingia mwenyekiti wa ccm kata na kisha kuongea baada ya ya mgeni rasmi.
 
Ukoo wa panya wamefanya yao,wanaiba hadi mchele
 
Huyo mzee sijui ni kwa nini anakomalia uongozi..

Eti anajiita spika msitaafu. Kang'ania kukaa kwenye nyumba ya kupangiwa na serikali mpaka leo. M16 kwa mwezi. Wakati nyumba yake waliojiuzia kawapangisha henken. Pale didis pia ana majumba mengine tegeta na mbweni

Fisadi tu na yeye.. maccm mbana
 
Huyo mzee sijui ni kwa nini anakomalia uongozi..

Eti anajiita spika msitaafu. Kang'ania kukaa kwenye nyumba ya kupangiwa na serikali mpaka leo. M16 kwa mwezi. Wakati nyumba yake waliojiuzia kawapangisha henken. Pale didis pia ana majumba mengine tegeta na mbweni

Fisadi tu na yeye.. maccm mbana
Tatizo mashabiki wengi wa Sitta ni wachanga mno, hawamjui Sitta wa miaka ya 1970s, 1980s na 1990s, wanamjua tu Sitta wa mwaka 2005 na kuendelea. Wangefanya utafiti kidogo tu wangejua kwamba hapo kwa Sitta hamna kitu...ni unafiki na ufisadi tu mtindo moja.
 
Tatizo mashabiki wengi wa Sitta ni wachanga mno, hawamjui Sitta wa miaka ya 1970s, 1980s na 1990s, wanamjua tu Sitta wa mwaka 2005 na kuendelea. Wangefanya utafiti kidogo tu wangejua kwamba hapo kwa Sitta hamna kitu...ni unafiki na ufisadi tu mtindo moja.


Cc MM
 
Huyo mzee sijui ni kwa nini anakomalia uongozi..

Eti anajiita spika msitaafu. Kang'ania kukaa kwenye nyumba ya kupangiwa na serikali mpaka leo. M16 kwa mwezi. Wakati nyumba yake waliojiuzia kawapangisha henken. Pale didis pia ana majumba mengine tegeta na mbweni

Fisadi tu na yeye.. maccm mbana

acha utani mil 16....?
 
Huyo mzee sijui ni kwa nini anakomalia uongozi..

Eti anajiita spika msitaafu. Kang'ania kukaa kwenye nyumba ya kupangiwa na serikali mpaka leo. M16 kwa mwezi. Wakati nyumba yake waliojiuzia kawapangisha henken. Pale didis pia ana majumba mengine tegeta na mbweni

Fisadi tu na yeye.. maccm mbana

Anakaa kinondoni kwa kimada
 
Tatizo mashabiki wengi wa Sitta ni wachanga mno, hawamjui Sitta wa miaka ya 1970s, 1980s na 1990s, wanamjua tu Sitta wa mwaka 2005 na kuendelea. Wangefanya utafiti kidogo tu wangejua kwamba hapo kwa Sitta hamna kitu...ni unafiki na ufisadi tu mtindo moja.

Alipoteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Kituo cha Uwekezaji na Rais Mkapa baada ya kuangushwa Ubunge-Urambo 1995 ndipo alipo tutenda??
 
Tatizo mashabiki wengi wa Sitta ni wachanga mno, hawamjui Sitta wa miaka ya 1970s, 1980s na 1990s, wanamjua tu Sitta wa mwaka 2005 na kuendelea. Wangefanya utafiti kidogo tu wangejua kwamba hapo kwa Sitta hamna kitu...ni unafiki na ufisadi tu mtindo moja.
Sitta ni mnafiki sana
 
Huyo mzee sijui ni kwa nini anakomalia uongozi..

Eti anajiita spika msitaafu. Kang'ania kukaa kwenye nyumba ya kupangiwa na serikali mpaka leo. M16 kwa mwezi. Wakati nyumba yake waliojiuzia kawapangisha henken. Pale didis pia ana majumba mengine tegeta na mbweni

Fisadi tu na yeye.. maccm mbana
Sasa ulitaka akampangishie mama yako? si baba yako ataanzisha vita?
 
CDM inahitaji kutake advantage ya mizozo hii ya maccm kwa wabunge na viongozi wake kuingia vijijini na vitongojini kuuelimisha umma elimu ya uraia mpaka kinaeleweka
 
Huyo mzee sijui ni kwa nini anakomalia uongozi..

Eti anajiita spika msitaafu. Kang'ania kukaa kwenye nyumba ya kupangiwa na serikali mpaka leo. M16 kwa mwezi. Wakati nyumba yake waliojiuzia kawapangisha henken. Pale didis pia ana majumba mengine tegeta na mbweni

Fisadi tu na yeye.. maccm mbana

Nilikiona kitu chake cha Mbweni. Nilienda kuangalia kiwanja pande zile.
 
Hizi siasa uchwara bana mwezako Sumaye alisema ameporwa mwaliko wewe umekuja na mpya kwa mkutano wako umehujumiwa mbona ushangai kule kwenu Tabora uchief kapewa mmasai na siyo wewe mnyamwezi acha unafiki.
 
Nilikiona kitu chake cha Mbweni. Nilienda kuangalia kiwanja pande zile.
Mkuu na jamaa wala haishi, pamoja na uzuri wa hiyo nyumba, bado serikali sikivu inamlipia nyumba ya wakenya pale masaki, kwa bei ya gharama.

Upo wapi uzalendo wa Six?
 
Back
Top Bottom