Sitta adhalilishwa na wana CCM wenzake Dar

Sitta adhalilishwa na wana CCM wenzake Dar

Nilikiona kitu chake cha Mbweni. Nilienda kuangalia kiwanja pande zile.

Mkuu Kiranga hata mimi nilipita pande zile nikaambiwa ni cha huyo gamba aisee ni hatareee,bonge la kitofa!!
 
Last edited by a moderator:
Huyo mzee sijui ni kwa nini anakomalia uongozi..

Eti anajiita spika msitaafu. Kang'ania kukaa kwenye nyumba ya kupangiwa na serikali mpaka leo. M16 kwa mwezi. Wakati nyumba yake waliojiuzia kawapangisha henken. Pale didis pia ana majumba mengine tegeta na mbweni

Fisadi tu na yeye.. maccm mbana

Kweli kabisa
 
Tatizo mashabiki wengi wa Sitta ni wachanga mno, hawamjui Sitta wa miaka ya 1970s, 1980s na 1990s, wanamjua tu Sitta wa mwaka 2005 na kuendelea. Wangefanya utafiti kidogo tu wangejua kwamba hapo kwa Sitta hamna kitu...ni unafiki na ufisadi tu mtindo moja.

Kumbukumbu za watanzania huwa ni finyu sana, atupe tu kidogo alipokuwa CDA nini alifanya?
 
Mkuu na jamaa wala haishi, pamoja na uzuri wa hiyo nyumba, bado serikali sikivu inamlipia nyumba ya wakenya pale masaki, kwa bei ya gharama.

Upo wapi uzalendo wa Six?

Hakuna uzalendo kabisa, huo ni ubinafsi wa hali ya juu
 
Back
Top Bottom