Sitta aanza safari ya kuingia CHADEMA?

Katika hali ambayo ilijulikana na ambayo inaelezwa kukolezwa kwa kutokuwepo jawabu la kujivua gamba, ni wazi sasa Sitta na kundi lake katika kuwania urais mwaka 2015 wameanza harakati za kujiweka sawa na wana CDM ambao wanaamini wataweza kuwapigia upatu kujiunga na chakma hicho mwaka 2015 kama mambo hayatakuwa upande wao katika CCM.

Taarifa za karibu na mbunge wa Arusha Mjini CDM zinaeldeza kuwa, mbunge huyo alikutana na Sitta kabla ya Sitta kumwagia sifa huku Sitta akimuelezea kuwa anakubaliana naye katika hatua za kuufanya mkoa wa Arusha usitawalike kwa kuwa unampaka matope EL. Hata hivyo, Sitta aliambiwa na watu wa karibu na Mbunge Lema kuwa, Arusha ikibaki hivi ilivyo CDM watashinda kirahisi mwaka 2015 lakini Sitta asijihakikishie kuwa huo ndio utakuwa mtaji wake kuingia CDM kwa kuwa chama hicho kwa sasa kina vigogo wengi wenye ushawishi kuliko yeye Sitta. Hata hivyo kauli kutoka kwa kiongozi mmoja wa CCM ambaye yuko karibu na Waziri Mkuu MWANDISHI WA GAZETI LA JAMUHURI WEWE
 
Mimi bado naiota combination ya sitta na Dr Slaa mmoja rais mwingine PM.Tanzania tutapaa!

Pole!Sita usimweke kundi moja na slaa!Unaweza kuonesha au kutuambia kitu cha kizalendo kinacholenga kuokoa mali za taifa kimeanzishwa na sita binafsi!
Sina geresha angalia alivomwacha solemba mpendazoe
 
6 nae mnafiki tu rejeen kwenye kumbukumbu za bunge alimpinga zto na kambi ya upinzan akisema n wanafki kwenye kupinga posho
 
Inawezakana i kawa kweli maana Gazeti la mwanahalisi la leo wamesema hili ingawa hawajataja jina la waziri
 
6 aongee na mwenyekiti wa CCM K mh. fahami dovutwa ili waone namna gani atamwachia kiti 2015, chadema tumekamilika, magamba yabaki magambani, kama kwenda cdm angeenda kwa kuona ufisadi wa ccm na sio baada ya kuona EL anakuja juu.
 
Katika hali ambayo ilijulikana na ambayo inaelezwa kukolezwa kwa kutokuwepo jawabu la kujivua gamba, ni wazi sasa Sitta na kundi lake katika kuwania urais mwaka 2015 wameanza harakati za kujiweka sawa na wana CDM ambao wanaamini wataweza kuwapigia upatu kujiunga na chakma hicho mwaka 2015 kama mambo hayatakuwa upande wao katika CCM.

Taarifa za karibu na mbunge wa Arusha Mjini CDM zinaeldeza kuwa, mbunge huyo alikutana na Sitta kabla ya Sitta kumwagia sifa huku Sitta akimuelezea kuwa anakubaliana naye katika hatua za kuufanya mkoa wa Arusha usitawalike kwa kuwa unampaka matope EL. Hata hivyo, Sitta aliambiwa na watu wa karibu na Mbunge Lema kuwa, Arusha ikibaki hivi ilivyo CDM watashinda kirahisi mwaka 2015 lakini Sitta asijihakikishie kuwa huo ndio utakuwa mtaji wake kuingia CDM kwa kuwa chama hicho kwa sasa kina vigogo wengi wenye ushawishi kuliko yeye Sitta. Hata hivyo kauli kutoka kwa kiongozi mmoja wa CCM ambaye yuko karibu na Waziri Mkuu Pinda alikimbia chanzo cha habari hii kuwa, Sitta sasa ameanza kupambana na serikali na hasa nafasi yake Waziri Mkuu ambayo ndiyo hasa kimsingi inasimamia mgogoro huo wa Arusha. "Tunajua katika CCM nini anachofanya Sitta, naona wameanza kuungana na kuonyesha kambi yao mapema. Hii inatupa urahisi kwa kuwa kambi zote sasa zinazjulikana kama ulivyoona kule Arusha juzi," chanzo hicho kilifafanua. Chanzo hiki kinaonyesha kuwa mpango wa kuchangisha harambee mbalimbali ulioasisiwa na Edward Lowassa sasa umechukuliwa na kambi ya Sitta akishirikiana na watu wake wa karibu na una lengo la kuhakikisha kuwa wanashindana na Lowassa katika kupita maeneo mbalimbali ya nchi.

Hata hivyo baadhi ya wananchi waliozungumza na vyanzon vyetu wameonyesha kufurahia harambee hizi na wakawataka wanaojipitisha pitisha kuongeza nguvu ili kutatua kero za wananchi kwa kuwa serikali inaonyesha kulemewa. Taaarifa zaidi subiri magazeti yajayo.

Kwani Mashoga wameruhusiwa kufanya kazi zao Tanzania?
 
Hizi porojo zinaenezwa na kundi la mafisadi ndani ya CCM likiongozwa na Lowassa na Chenge, na wafuasi wao kama mwenyekiti wa CCM wa mkoa wa Shinyanga, Mgeja. Habari za kupikwa za Sitta kuhamia CHADEMA pia zilichapishwa na MwanaHALISI wiki hii kwa kichwa cha habari "Waziri wa JK kumkimbia Lowassa." Inajulikana wazi kuwa Saeed Kubenea wa MwanaHALISI amenunuliwa na Lowassa na Rostam na amekuwa akiandika habari kwa maelekezo yao.

Kundi la kina Lowassa ndio limeibua yuhuma kuwa Sitta na Nape ni waanzilishi wa CCJ. Yote haya ni kujaribu kuleta vurugu ndani ya CCM ili dhana ya kujivua gamba ishindikane. Wanataka kuwachanganya wajumbe wa NEC na uongozi wa CCM kuwa kila mtu ana tuhuma ndani ya CCM eti wakidhani hiyo itawaokoa wao mafisadi guberi kina Lowassa na Chenge wasifukuzwe.
 
Katika hali ambayo ilijulikana na ambayo inaelezwa kukolezwa kwa kutokuwepo jawabu la kujivua gamba, ni wazi sasa Sitta na kundi lake katika kuwania urais mwaka 2015 wameanza harakati za kujiweka sawa na wana CDM ambao wanaamini wataweza kuwapigia upatu kujiunga na chakma hicho mwaka 2015 kama mambo hayatakuwa upande wao katika CCM.

Taarifa za karibu na mbunge wa Arusha Mjini CDM zinaeldeza kuwa, mbunge huyo alikutana na Sitta kabla ya Sitta kumwagia sifa huku Sitta akimuelezea kuwa anakubaliana naye katika hatua za kuufanya mkoa wa Arusha usitawalike kwa kuwa unampaka matope EL. Hata hivyo, Sitta aliambiwa na watu wa karibu na Mbunge Lema kuwa, Arusha ikibaki hivi ilivyo CDM watashinda kirahisi mwaka 2015 lakini Sitta asijihakikishie kuwa huo ndio utakuwa mtaji wake kuingia CDM kwa kuwa chama hicho kwa sasa kina vigogo wengi wenye ushawishi kuliko yeye Sitta. Hata hivyo kauli kutoka kwa kiongozi mmoja wa CCM ambaye yuko karibu na Waziri Mkuu MWANDISHI WA GAZETI LA JAMUHURI WEWE

Ni kweli kabisa, hii ni aina ya habari potosha ambazo zitakuwa zinachapishwa na gazeti jipya la fisadi Lowassa kwa kushirikiana na Saeed Kubenea wa MwanaHalisi ambaye ana roho nyepesi kama kuku na sasa ni kibarua wa mafisadi pamoja na Absalom Kibanda wa Tanzania Daima.
 
Mh Baba Riz ameshaliona hilo ndo maana anataka kumpa stroke EL ili ang'atuke jumla. Akitoka EL lazima Sitta atabaki kwenye Magamba. 6 ndo mtaji wa magamba uliobaki kwa sasa.
 
Ni kweli kabisa, hii ni aina ya habari potosha ambazo zitakuwa zinachapishwa na gazeti jipya la fisadi Lowassa kwa kushirikiana na Saeed Kubenea wa MwanaHalisi ambaye ana roho nyepesi kama kuku na sasa ni kibarua wa mafisadi pamoja na Absalom Kibanda wa Tanzania Daima.

Tutasikia matusi mengi toka kwa wana CCM maslahi kama wewe mwaka huu.
 
Hizi porojo zinaenezwa na kundi la mafisadi ndani ya CCM likiongozwa na Lowassa na Chenge, na wafuasi wao kama mwenyekiti wa CCM wa mkoa wa Shinyanga, Mgeja. Habari za kupikwa za Sitta kuhamia CHADEMA pia zilichapishwa na MwanaHALISI wiki hii kwa kichwa cha habari "Waziri wa JK kumkimbia Lowassa." Inajulikana wazi kuwa Saeed Kubenea wa MwanaHALISI amenunuliwa na Lowassa na Rostam na amekuwa akiandika habari kwa maelekezo yao.

Kundi la kina Lowassa ndio limeibua yuhuma kuwa Sitta na Nape ni waanzilishi wa CCJ. Yote haya ni kujaribu kuleta vurugu ndani ya CCM ili dhana ya kujivua gamba ishindikane. Wanataka kuwachanganya wajumbe wa NEC na uongozi wa CCM kuwa kila mtu ana tuhuma ndani ya CCM eti wakidhani hiyo itawaokoa wao mafisadi guberi kina Lowassa na Chenge wasifukuzwe.

Wacha porojo! data za Sitta kuanzisha CCJ hazikuibuliwa na hilo kundi. Waanzilishi wenyewe wa CCJ walianza kuumbuana baada ya kusalitiana. Sitta ni mnafiki alikuwa kiungp kikuu CCJ na kuanzishwa kwake, alipopima upepo na iliposhondwa kupata usajili na jamaa wa TISS kutibua mpango wao akaingia mitini! yule ni kinyonga na ni chui ndani ya ngozi ya kondoo! CDM sidhani kama wanaweza kumpokea Sitta kwani ni opportunist na mnafiki! CDM watakuwa wamesahau alivyowatenda alipokuwa Spika? Kuanzia list of shame ya Dr. Slaa na EPA, Sitta alimponda Slaa na kusema amewasilisha nyaraka feki na atampeleka mahakamani, umesahau? anyway, yapo mengi lkn kwa unafiki wake sina hakika kama CDM watafanya kosa hilo.
 
Katika hali ambayo ilijulikana na ambayo inaelezwa kukolezwa kwa kutokuwepo jawabu la kujivua gamba, ni wazi sasa Sitta na kundi lake katika kuwania urais mwaka 2015 wameanza harakati za kujiweka sawa na wana CDM ambao wanaamini wataweza kuwapigia upatu kujiunga na chakma hicho mwaka 2015 kama mambo hayatakuwa upande wao katika CCM.

Taarifa za karibu na mbunge wa Arusha Mjini CDM zinaeldeza kuwa, mbunge huyo alikutana na Sitta kabla ya Sitta kumwagia sifa huku Sitta akimuelezea kuwa anakubaliana naye katika hatua za kuufanya mkoa wa Arusha usitawalike kwa kuwa unampaka matope EL. Hata hivyo, Sitta aliambiwa na watu wa karibu na Mbunge Lema kuwa, Arusha ikibaki hivi ilivyo CDM watashinda kirahisi mwaka 2015 lakini Sitta asijihakikishie kuwa huo ndio utakuwa mtaji wake kuingia CDM kwa kuwa chama hicho kwa sasa kina vigogo wengi wenye ushawishi kuliko yeye Sitta. Hata hivyo kauli kutoka kwa kiongozi mmoja wa CCM ambaye yuko karibu na Waziri Mkuu Pinda alikimbia chanzo cha habari hii kuwa, Sitta sasa ameanza kupambana na serikali na hasa nafasi yake Waziri Mkuu ambayo ndiyo hasa kimsingi inasimamia mgogoro huo wa Arusha. "Tunajua katika CCM nini anachofanya Sitta, naona wameanza kuungana na kuonyesha kambi yao mapema. Hii inatupa urahisi kwa kuwa kambi zote sasa zinazjulikana kama ulivyoona kule Arusha juzi," chanzo hicho kilifafanua. Chanzo hiki kinaonyesha kuwa mpango wa kuchangisha harambee mbalimbali ulioasisiwa na Edward Lowassa sasa umechukuliwa na kambi ya Sitta akishirikiana na watu wake wa karibu na una lengo la kuhakikisha kuwa wanashindana na Lowassa katika kupita maeneo mbalimbali ya nchi.

Hata hivyo baadhi ya wananchi waliozungumza na vyanzon vyetu wameonyesha kufurahia harambee hizi na wakawataka wanaojipitisha pitisha kuongeza nguvu ili kutatua kero za wananchi kwa kuwa serikali inaonyesha kulemewa. Taaarifa zaidi subiri magazeti yajayo.

Mkuu nashukuru sana kwa kuweka hiyo statement juu kabisa maana imenifanya ni Abort stori nzima na kunisaidia kureserve energy katika thread muhimu zaidi. Next time ukitunga stori jaribu kuipa uhalisia basi maana haiingii akili mkoa wa Arusha kuwa katika vurugu unamharibia EL kwani yeye ni nani hasa katika kuuongoza mkoa huo?
 
Back
Top Bottom