appoh
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 5,819
- 3,088
Kwa kweli sitosahau siku hii nilivyoumbuka julias nyerere international airport
HIi siku kuna watu walinitazama kama gaid wengine kama punda mbeba ngada
Maana nilifika vizur had getin picha linaanza kinaitajika kitambulisho chochote niweze kuingia sikua nacho nikarudisha mara nikaambiwa niwahi huyo ninaenda kuonana nae atapaa sio muda
nikapanga folen kukaguliwa dah alarm ikalia kumbe mfukon nilikua nina mashiling coin mashine inadetect
Nikaambiwa rud panga upya folen huku hela zipo kwenye sufulia sijui besen lilw ila kurud tena mashine ikalia tena daah mkanda ulikua na chuma nikaambiwa rud tena nikapanga upya kufika kwenye mashine ikaanza kulia tena daah watu wakageuka usalama wa taifa wakakaa tayar labda nina bomu au madawa nikaambiwa vua mkanda kapange upya folen kufika kwenye mashine ikalia tena daah kiatu nilichovaa kina kichuma nikaambiwa ebu kijana ingia huku nikavuliwa kila kitu wakakuta sina kitu nikaachiwa niliumbuka sana
Ukisafiri kupitia airport usibebe mashilingi au vitu vyenye asili ya chuma
HIi siku kuna watu walinitazama kama gaid wengine kama punda mbeba ngada
Maana nilifika vizur had getin picha linaanza kinaitajika kitambulisho chochote niweze kuingia sikua nacho nikarudisha mara nikaambiwa niwahi huyo ninaenda kuonana nae atapaa sio muda
nikapanga folen kukaguliwa dah alarm ikalia kumbe mfukon nilikua nina mashiling coin mashine inadetect
Nikaambiwa rud panga upya folen huku hela zipo kwenye sufulia sijui besen lilw ila kurud tena mashine ikalia tena daah mkanda ulikua na chuma nikaambiwa rud tena nikapanga upya kufika kwenye mashine ikaanza kulia tena daah watu wakageuka usalama wa taifa wakakaa tayar labda nina bomu au madawa nikaambiwa vua mkanda kapange upya folen kufika kwenye mashine ikalia tena daah kiatu nilichovaa kina kichuma nikaambiwa ebu kijana ingia huku nikavuliwa kila kitu wakakuta sina kitu nikaachiwa niliumbuka sana
Ukisafiri kupitia airport usibebe mashilingi au vitu vyenye asili ya chuma