Sitosahau mkasa huu

Habarin wanaJF leo ningependa kushea na nyinyi haka kamkasa kalikonikuta nikiwa chuo ikiwa ni semister tu ya kwanza intake ya November 2019, sitopenda kutaja chuo wala fani nnayosomea.

Eh bhana sikia tu kwa jirani usiombe yakukute ilikuwa hivi

Nikiwa chuo semister ya kwanza ilitokea kuzoeana na girl mmoja hivi white and tall mzuri yani hana kasoro so design mm ni mtu sana wa watu yani nna ile charming personality so easy sana kutozoeana na mtu yeyote.

Si unajua tena ile group discussion huku na maneno matam matam binti akatokea kunielewa SIKUMTONGOZA ila mazoea tu ya karibu design akahisi kuwa namkubali kinoma noma ingawa me nilitaka tu normal friend coz tiari nna mpenz wangu wa muda mrefu.

Daaah basi bwana kwenye maongezi maongezi nkafanya tu kuchomekea unaonaje siku moja ukaja geto ile kunisalimia kama sehemu ya kufahamiana zaidi. Aisee nkashangaa napata BIG YES ya faster bila kupepesa macho, kamoyo kakashtuka huku nikajiuliza mbona imekua sooo simple ila nkabullshit labda kwa kuwa kaonesha kunielewa sana.

Kama unavyojua demu akishasema anakuja geto No kulaza damu, basi siku ikawadia, mtoto nikampga chips kuku juice huku akila movie taratibu na akionesha kuwa na furaha sana moyoni nkajihisi mwenye bahati na nyota ya kupendwa.

Tukala tukashiba, kila nikimuangalia alivyoumbika ndivyo damu yangu ilizidi kuwa ya moto nkaanza uchokoz binti akaelewa lakini machale yakanicheza kabla hatujavua nguo nkamuomba tupime kwanza kwasababu huwa nna vipimo ndan coz mm sio mpenz wa kutumia CONDOM.

Akasita kwanza huku akiniuliza what's happen nkimkuta anao nkacheka kwanz nkimjibu kimasihara haiwez tokea akaniulza tena ndo imetokea sasa ilibid ntabasam huku nkmjibu ntakupa ushaur upme tena baada ya miez mi3.

Wakat tunapma na stor mbili tatu akaniangalia uson huku akiniambia steve i came to shape your life nnaweza kuwa mtu sahh kwako au sio sahh,,,me hapo akili inawaza sex tu nkajibu No no no baby you are the right person to me right Love you so much huku nisielew nn anamaansha.


Baada ya dk 2 tu majibu yakasoma yote negative basi nikawa na furaha kinoma sikutaka kulaza damu ingawa yeye nilimuona kama mtu mwenye kushangaa flan hivi mimi sikujali midadi ilikuwa ishanipanda.

Nkampa foreplay ya kufa mtu mpaka hakawa hajiwez lakin ikawa kila nktaka kuingiza binti alikuwa anakataa ilibidi nitumie nguvu za uanaume kulazimisha sana had akakubal,,mapenz yalikuwa mubashara.

Tulimalza kigiza kikiwa kishaingia huku moyon nkijutia kumsaliti mpenz wangu na yy kuonekana mwenye furaha sana nkamkodia boda na mm siku hyo nilikua naingia job night shift.

Nkafika kazn nkisimulia washkaj zang namna nilvotoka kupga shoo kimzah mzah bas asubuh nkarud zang geto nkasema ngoja nipge mausaf kwanz mana niliacha apaelewek.

GHAFLA katka hal ya butwaa nashangaa kipmo kimoja hakionekan tulivopma kuangalia vizur nakikuta kweny pakt ya kipimo ile nakitoa nakutana na positive result kikiwa kimechora 2 lines Aisee nilihis kufa kufa kuangalia kile kingine kilichopo mezan ni cha negative kimochora 1 line.

Nilihisi kuharisha muda huo huku nikijiuliza maswali mengi kichwani hiki cha positive kitakuwa cha nani, Daah aisee nilikuwa na wakati mgumu sana.

Ikabidi muda huo huo nijipe ujasiri nipime kwa kutumia UNI GOLD kipimo kikubwa cha HIV namshukuru MUNGU majibu yangu yalikuwa Negative hivyo nikajua fika haya ya positive yatakuwa ya yule dada ndio maana alionekana kuwa na mashaka na kugoma wakat wa sex niliiilaumu sana nafsi yangu kwa kutokuwa mvumilivu kusoma majibu.

Nikapata akili ya kumpigia sim lakini hakupatkan hofu ikizidi kutanda ndani yangu, kwa kuwa nilikuwa nna kaelimu kuhusu HIV ikabidi nijitose muda huo huo angaza nkapata dawa nitumie mwezi mmoja ili kuzuia maambukizi.

Ndugu yangu ARV zisikie tu zinapelekesha mbayaaaa nilimuomba MUNGU sana aniepushe na janga hili huku nikifunga na kuomba kuungama dhamb zangu.

Siku ya tatu zile dawa zilionekana kudhoofisha afya yangu, nikasikia sauti ndani yangu ikiniambia niziache nkapata ujasiri mkubwa sana na kumwamini MUNGU nkaenda kutupa choon kopo zima.

Nilikuwa mtu wa ibada sana mpaka marafiki zangu wakinitania kuwa nimeokoka, niliendelea kula vizuri na kupiga sana tizi.

Chuo kilipofunguliwa nikapata taarifa kwa marafiki zake yule dada aliumwa sana mpaka kaamua kuahirisha mwaka.

Daah moyon nilikuwa nikihofia sana afya yangu kutokana na malengo makubwa niliyokwisha kujiwekea lakini Mungu alinipa amani na kujipa moyo I WILL BE FINE mwendo ukiwa ule ule IBADA, MLO KAMILI NA MAZOEZI.

Kitaalam wanasema inabidi ipite miez mitatu ndo upime tena mimi kla mwezi nikawa napima na nkashkuru sana MUNGU baada ya miez mi3 majibu yakawa safiiiii kabsaaa.

Eh bhan ee huo ndo mkasa wangu TUACHE TAMAA MAZEE KUWA NA MPENZ MMOJA MWAMINIFU TUPENDE IBADA.

By steve!!
ww ulikunywa dawa ya PEP sio ARV

Hizo noma ukinywa lazima uote ndoto kama unafukuzwa na majini mara kufa kufa
 
Wewe nawe acha uongo Jukwaani kuchangamsha genge, Kuna vitu unaandika ndiyo kazi wenzio wanazifanya kila siku.

1. Kipimo kina Bio line HIV kit, Ina muda wake kuisoma, Dk10-20 zaidi ya hapo utapata majibu batili, Hii Ina maana kwamba ukiisoma zaidi ya kuo muda itasoma positive kwa Maana line zote zitakuwa zinaonekana.

Na hapo Kama mwanzo kilisoma negative kitaonesha positive, Uliposea ulirudi KAZINI Asubuhi Ni wazi utakuta kinasoma positive.

2. Ulipoenda Angaza ulianzishiwaje !!?? Dawa Bila kukuta una maambukizi!??? Mpaka ukaacha hizo dawa?!!

Na unapoandika kuwa ulipima Baada ya miezi tatu na kukuta huna maambukizi Kwani?? ARV zinaponyesha Ukimwi au zinafubaza mabukizi!!???

Kingine kulala na mtu mwenye maambukizi ya UKIMWI haina maana lazima akuambukize, Kuambukizwa Ni mpaka Blood contamination, Uteute sehemu za Siri hautoshi kueneza Virus. Ndiyo sababu kuna wenza wanaishi mmoja ana maambukizi mwingine Hana.

Ingawa siku hizi Kuna Oral HIV test kit. Acha kugawa chai love story yako ya kusadikika usiifungamanishe na vitu vya msingi.
Mara alikua chuo semester ya kwanza mara kesho yake akaenda kazini sasa tumueleweje
 
Wewe Kwanza huna hiyo Elimu ya vipimo huwezi na Hutakiwi Kusoma majibu after 15 Mnts,sembuse wewe Umesoma baada ya zaid ya 10hrs.hizo dakika 2 mpaka 5 majibu ni sahihi kabisa
 
Habarin wanaJF leo ningependa kushea na nyinyi haka kamkasa kalikonikuta nikiwa chuo ikiwa ni semister tu ya kwanza intake ya November 2019, sitopenda kutaja chuo wala fani nnayosomea.

Eh bhana sikia tu kwa jirani usiombe yakukute ilikuwa hivi

Nikiwa chuo semister ya kwanza ilitokea kuzoeana na girl mmoja hivi white and tall mzuri yani hana kasoro so design mm ni mtu sana wa watu yani nna ile charming personality so easy sana kutozoeana na mtu yeyote.

Si unajua tena ile group discussion huku na maneno matam matam binti akatokea kunielewa SIKUMTONGOZA ila mazoea tu ya karibu design akahisi kuwa namkubali kinoma noma ingawa me nilitaka tu normal friend coz tiari nna mpenz wangu wa muda mrefu.

Daaah basi bwana kwenye maongezi maongezi nkafanya tu kuchomekea unaonaje siku moja ukaja geto ile kunisalimia kama sehemu ya kufahamiana zaidi. Aisee nkashangaa napata BIG YES ya faster bila kupepesa macho, kamoyo kakashtuka huku nikajiuliza mbona imekua sooo simple ila nkabullshit labda kwa kuwa kaonesha kunielewa sana.

Kama unavyojua demu akishasema anakuja geto No kulaza damu, basi siku ikawadia, mtoto nikampga chips kuku juice huku akila movie taratibu na akionesha kuwa na furaha sana moyoni nkajihisi mwenye bahati na nyota ya kupendwa.

Tukala tukashiba, kila nikimuangalia alivyoumbika ndivyo damu yangu ilizidi kuwa ya moto nkaanza uchokoz binti akaelewa lakini machale yakanicheza kabla hatujavua nguo nkamuomba tupime kwanza kwasababu huwa nna vipimo ndan coz mm sio mpenz wa kutumia CONDOM.

Akasita kwanza huku akiniuliza what's happen nkimkuta anao nkacheka kwanz nkimjibu kimasihara haiwez tokea akaniulza tena ndo imetokea sasa ilibid ntabasam huku nkmjibu ntakupa ushaur upme tena baada ya miez mi3.

Wakat tunapma na stor mbili tatu akaniangalia uson huku akiniambia steve i came to shape your life nnaweza kuwa mtu sahh kwako au sio sahh,,,me hapo akili inawaza sex tu nkajibu No no no baby you are the right person to me right Love you so much huku nisielew nn anamaansha.


Baada ya dk 2 tu majibu yakasoma yote negative basi nikawa na furaha kinoma sikutaka kulaza damu ingawa yeye nilimuona kama mtu mwenye kushangaa flan hivi mimi sikujali midadi ilikuwa ishanipanda.

Nkampa foreplay ya kufa mtu mpaka hakawa hajiwez lakin ikawa kila nktaka kuingiza binti alikuwa anakataa ilibidi nitumie nguvu za uanaume kulazimisha sana had akakubal,,mapenz yalikuwa mubashara.

Tulimalza kigiza kikiwa kishaingia huku moyon nkijutia kumsaliti mpenz wangu na yy kuonekana mwenye furaha sana nkamkodia boda na mm siku hyo nilikua naingia job night shift.

Nkafika kazn nkisimulia washkaj zang namna nilvotoka kupga shoo kimzah mzah bas asubuh nkarud zang geto nkasema ngoja nipge mausaf kwanz mana niliacha apaelewek.

GHAFLA katka hal ya butwaa nashangaa kipmo kimoja hakionekan tulivopma kuangalia vizur nakikuta kweny pakt ya kipimo ile nakitoa nakutana na positive result kikiwa kimechora 2 lines Aisee nilihis kufa kufa kuangalia kile kingine kilichopo mezan ni cha negative kimochora 1 line.

Nilihisi kuharisha muda huo huku nikijiuliza maswali mengi kichwani hiki cha positive kitakuwa cha nani, Daah aisee nilikuwa na wakati mgumu sana.

Ikabidi muda huo huo nijipe ujasiri nipime kwa kutumia UNI GOLD kipimo kikubwa cha HIV namshukuru MUNGU majibu yangu yalikuwa Negative hivyo nikajua fika haya ya positive yatakuwa ya yule dada ndio maana alionekana kuwa na mashaka na kugoma wakat wa sex niliiilaumu sana nafsi yangu kwa kutokuwa mvumilivu kusoma majibu.

Nikapata akili ya kumpigia sim lakini hakupatkan hofu ikizidi kutanda ndani yangu, kwa kuwa nilikuwa nna kaelimu kuhusu HIV ikabidi nijitose muda huo huo angaza nkapata dawa nitumie mwezi mmoja ili kuzuia maambukizi.

Ndugu yangu ARV zisikie tu zinapelekesha mbayaaaa nilimuomba MUNGU sana aniepushe na janga hili huku nikifunga na kuomba kuungama dhamb zangu.

Siku ya tatu zile dawa zilionekana kudhoofisha afya yangu, nikasikia sauti ndani yangu ikiniambia niziache nkapata ujasiri mkubwa sana na kumwamini MUNGU nkaenda kutupa choon kopo zima.

Nilikuwa mtu wa ibada sana mpaka marafiki zangu wakinitania kuwa nimeokoka, niliendelea kula vizuri na kupiga sana tizi.

Chuo kilipofunguliwa nikapata taarifa kwa marafiki zake yule dada aliumwa sana mpaka kaamua kuahirisha mwaka.

Daah moyon nilikuwa nikihofia sana afya yangu kutokana na malengo makubwa niliyokwisha kujiwekea lakini Mungu alinipa amani na kujipa moyo I WILL BE FINE mwendo ukiwa ule ule IBADA, MLO KAMILI NA MAZOEZI.

Kitaalam wanasema inabidi ipite miez mitatu ndo upime tena mimi kla mwezi nikawa napima na nkashkuru sana MUNGU baada ya miez mi3 majibu yakawa safiiiii kabsaaa.

Eh bhan ee huo ndo mkasa wangu TUACHE TAMAA MAZEE KUWA NA MPENZ MMOJA MWAMINIFU TUPENDE IBADA.

By steve!!
Mm nashindwa kukuelewa inawezekana mgonjwa wa HIV anaweza kupona kumbe na akawa _ve kabisaaaaa,nieleweshe hapo
 
Mkuu mim nakushauri usikatishe dozi kula na matunda mengi sanaa japokua unasema mara ya pili kipimo kilionyesha huna
 
Muongo bwana!!!🤣🤣🤣🤣 Uko chuo mwaka wa kwanza halafu job night shift?? wee ulisikia waapiiiiii?????
 
so design mm ni mtu sana wa watu yani nna ile charming personality so easy sana kutozoeana na mtu yeyote.

Nimeishia hapa kusoma
Nae msomi eti
 
so design mm ni mtu sana wa watu yani nna ile charming personality so easy sana kutozoeana na mtu yeyote.

Nimeishia hapa kusoma
Nae msomi eti
That's writing error bro,,,,ila sio mbaya pia kama utaniambia criteria za mtu msom zinakuaje??
 
Habarin wanaJF leo ningependa kushea na nyinyi haka kamkasa kalikonikuta nikiwa chuo ikiwa ni semister tu ya kwanza intake ya November 2019, sitopenda kutaja chuo wala fani nnayosomea.

Eh bhana sikia tu kwa jirani usiombe yakukute ilikuwa hivi

Nikiwa chuo semister ya kwanza ilitokea kuzoeana na girl mmoja hivi white and tall mzuri yani hana kasoro so design mm ni mtu sana wa watu yani nna ile charming personality so easy sana kutozoeana na mtu yeyote.

Si unajua tena ile group discussion huku na maneno matam matam binti akatokea kunielewa SIKUMTONGOZA ila mazoea tu ya karibu design akahisi kuwa namkubali kinoma noma ingawa me nilitaka tu normal friend coz tiari nna mpenz wangu wa muda mrefu.

Daaah basi bwana kwenye maongezi maongezi nkafanya tu kuchomekea unaonaje siku moja ukaja geto ile kunisalimia kama sehemu ya kufahamiana zaidi. Aisee nkashangaa napata BIG YES ya faster bila kupepesa macho, kamoyo kakashtuka huku nikajiuliza mbona imekua sooo simple ila nkabullshit labda kwa kuwa kaonesha kunielewa sana.

Kama unavyojua demu akishasema anakuja geto No kulaza damu, basi siku ikawadia, mtoto nikampga chips kuku juice huku akila movie taratibu na akionesha kuwa na furaha sana moyoni nkajihisi mwenye bahati na nyota ya kupendwa.

Tukala tukashiba, kila nikimuangalia alivyoumbika ndivyo damu yangu ilizidi kuwa ya moto nkaanza uchokoz binti akaelewa lakini machale yakanicheza kabla hatujavua nguo nkamuomba tupime kwanza kwasababu huwa nna vipimo ndan coz mm sio mpenz wa kutumia CONDOM.

Akasita kwanza huku akiniuliza what's happen nkimkuta anao nkacheka kwanz nkimjibu kimasihara haiwez tokea akaniulza tena ndo imetokea sasa ilibid ntabasam huku nkmjibu ntakupa ushaur upme tena baada ya miez mi3.

Wakat tunapma na stor mbili tatu akaniangalia uson huku akiniambia steve i came to shape your life nnaweza kuwa mtu sahh kwako au sio sahh,,,me hapo akili inawaza sex tu nkajibu No no no baby you are the right person to me right Love you so much huku nisielew nn anamaansha.


Baada ya dk 2 tu majibu yakasoma yote negative basi nikawa na furaha kinoma sikutaka kulaza damu ingawa yeye nilimuona kama mtu mwenye kushangaa flan hivi mimi sikujali midadi ilikuwa ishanipanda.

Nkampa foreplay ya kufa mtu mpaka hakawa hajiwez lakin ikawa kila nktaka kuingiza binti alikuwa anakataa ilibidi nitumie nguvu za uanaume kulazimisha sana had akakubal,,mapenz yalikuwa mubashara.

Tulimalza kigiza kikiwa kishaingia huku moyon nkijutia kumsaliti mpenz wangu na yy kuonekana mwenye furaha sana nkamkodia boda na mm siku hyo nilikua naingia job night shift.

Nkafika kazn nkisimulia washkaj zang namna nilvotoka kupga shoo kimzah mzah bas asubuh nkarud zang geto nkasema ngoja nipge mausaf kwanz mana niliacha apaelewek.

GHAFLA katka hal ya butwaa nashangaa kipmo kimoja hakionekan tulivopma kuangalia vizur nakikuta kweny pakt ya kipimo ile nakitoa nakutana na positive result kikiwa kimechora 2 lines Aisee nilihis kufa kufa kuangalia kile kingine kilichopo mezan ni cha negative kimochora 1 line.

Nilihisi kuharisha muda huo huku nikijiuliza maswali mengi kichwani hiki cha positive kitakuwa cha nani, Daah aisee nilikuwa na wakati mgumu sana.

Ikabidi muda huo huo nijipe ujasiri nipime kwa kutumia UNI GOLD kipimo kikubwa cha HIV namshukuru MUNGU majibu yangu yalikuwa Negative hivyo nikajua fika haya ya positive yatakuwa ya yule dada ndio maana alionekana kuwa na mashaka na kugoma wakat wa sex niliiilaumu sana nafsi yangu kwa kutokuwa mvumilivu kusoma majibu.

Nikapata akili ya kumpigia sim lakini hakupatkan hofu ikizidi kutanda ndani yangu, kwa kuwa nilikuwa nna kaelimu kuhusu HIV ikabidi nijitose muda huo huo angaza nkapata dawa nitumie mwezi mmoja ili kuzuia maambukizi.

Ndugu yangu ARV zisikie tu zinapelekesha mbayaaaa nilimuomba MUNGU sana aniepushe na janga hili huku nikifunga na kuomba kuungama dhamb zangu.

Siku ya tatu zile dawa zilionekana kudhoofisha afya yangu, nikasikia sauti ndani yangu ikiniambia niziache nkapata ujasiri mkubwa sana na kumwamini MUNGU nkaenda kutupa choon kopo zima.

Nilikuwa mtu wa ibada sana mpaka marafiki zangu wakinitania kuwa nimeokoka, niliendelea kula vizuri na kupiga sana tizi.

Chuo kilipofunguliwa nikapata taarifa kwa marafiki zake yule dada aliumwa sana mpaka kaamua kuahirisha mwaka.

Daah moyon nilikuwa nikihofia sana afya yangu kutokana na malengo makubwa niliyokwisha kujiwekea lakini Mungu alinipa amani na kujipa moyo I WILL BE FINE mwendo ukiwa ule ule IBADA, MLO KAMILI NA MAZOEZI.

Kitaalam wanasema inabidi ipite miez mitatu ndo upime tena mimi kla mwezi nikawa napima na nkashkuru sana MUNGU baada ya miez mi3 majibu yakawa safiiiii kabsaaa.

Eh bhan ee huo ndo mkasa wangu TUACHE TAMAA MAZEE KUWA NA MPENZ MMOJA MWAMINIFU TUPENDE IBADA.

By steve!!

Ah alafu jamani mbona watu mnashangaza sana...yaani mnadhani ukiomba ndio mungu atakuepusha na ngoma...hiyo haipogo jameniii.

Mungu alishakupa muongozo wa namna ya kuishi na kulinda uhai wako. Wee ukienda kinyume uwe tayari kupokea matokeo. Ukiomba msamaa utasamehewa ila consequences za decisons zako wee kaa ukijua hilo lako tuu.
 
HUU NI UONGO WA KIWANGO CHA 6G!
KWANZA RAPID TEST IWE BIOLINE AU UNI
GOLD UKISHAPIMA IKALETA RESULT EITHER POSITIVE OR NEGATIVE BAADA YA 30 MINUTES ZILEE RESULT HUBADILIKA NA KUWA NYEUSI YANI HUWEZI ONA KINSTARI TENA WW KESHO YAKE UMEONAJE NEGATIVE NA POSITIVE.
SIJUI UNATAKA KUPOTOSHA ILI IWEJE?
 
HUU NI UONGO WA KIWANGO CHA 6G!
KWANZA RAPID TEST IWE BIOLINE AU UNI
GOLD UKISHAPIMA IKALETA RESULT EITHER POSITIVE OR NEGATIVE BAADA YA 30 MINUTES ZILEE RESULT HUBADILIKA NA KUWA NYEUSI YANI HUWEZI ONA KINSTARI TENA WW KESHO YAKE UMEONAJE NEGATIVE NA POSITIVE.
SIJUI UNATAKA KUPOTOSHA ILI IWEJE?
Did you confim it or you heard people say!!
 
Back
Top Bottom