#sitomuibia_mwalimu_milele

#sitomuibia_mwalimu_milele

babumapunda

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
4,644
Reaction score
3,314
#"SITOMUIBIA_MWALIMU_MILELE" ni
kauli iliyotolewa na kibaka baada ya
kuiba Pochi ya Mwalimu wa primary
na kukuta vitu vifuatavyo:-

1-Majina ya wapiga kelele darasan

2-Majina ya waliochelewa namba
shule

3-Majina ya waliokopa ubuyu na
bagia

4-majina ya wanaomdai

5-Kadi ya sherehe ya shule jiran

6-Peni nyekundu

7-Salary slip yennye mkopo

8-Risiti ya ATM inayoonyesha salio
Tsh 0.00

Mwizi huyo akaapa na kusema
#"SITOMUIBIA_TENA_MWALIMU"
 
Hahahah chezeya teacher wwe kishule zaidi

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom