UWOGA=UMASKINI
JF-Expert Member
- Dec 30, 2013
- 2,400
- 1,017
- Thread starter
-
- #21
Kwakweli mimi hapo shemeji yenu hana hayo ila sijui sababu kwanini nachepukagaKwa jinsi ulivyomsifia shemeji hukuwa na haja ya kuchepuka. Wenzako wameoa wanawake KERO ukifika nyumbani unatakiwa kujibu maswali kadhaa: leo ulikuwa wapi, mbona hukupokea simu yangu, mshahara wako unapokea lini. Ukiachana na hayo wengine wachafu chumbani na jikoni hutamani kulala kitandani, hutamani kukaa mezani kula chakula. Ukiachana na hilo wengine eti wanabadilisha mboga sasa sijui kuna K yenye vitunguu swaumu nyingine ina samaki, nyingine kuku wa kyenyeji ...mi sijui.
Huwa tunatafuta kumiksi tuladha.Nimekaa na kufikiri mke ninaye mzuri tu anajitumabkila idara ila tu sijui kwanini nachepuka na kote nilikochepuka sijaona utamu zaidi yabule niupatao ssa labda nyie wachepukaji wenzangu huwa mnafuata nini kwa michepuko
UtachepukaaNimekaa na kufikiri mke ninaye mzuri tu anajitumabkila idara ila tu sijui kwanini nachepuka na kote nilikochepuka sijaona utamu zaidi yabule niupatao ssa labda nyie wachepukaji wenzangu huwa mnafuata nini kwa michepuko
Kila wanaume 10 /7wanachepukaHahahaha uzuri wa Mke siyo sabab kuchepuka kwa mwanaume wa kiafrica suna babu,mfalme Suleiman alikuwa na wanawake 1000
Samahan iyo picha kwenye avatar yako ndo wew?Hahahaha uzuri wa Mke siyo sabab kuchepuka kwa mwanaume wa kiafrica suna babu,mfalme Suleiman alikuwa na wanawake 1000
Nimekaa na kufikiri mke ninaye mzuri tu anajituma kila idara ila tu sijui kwanini nachepuka na kote nilikochepuka sijaona utamu zaidi ya ule niupatao sasa labda nyie wachepukaji wenzangu huwa mnafuata nini kwa michepuko
Hahhahahahahahaha.... Haya bhana....!!!Kwa jinsi ulivyomsifia shemeji hukuwa na haja ya kuchepuka. Wenzako wameoa wanawake KERO ukifika nyumbani unatakiwa kujibu maswali kadhaa: leo ulikuwa wapi, mbona hukupokea simu yangu, mshahara wako unapokea lini. Ukiachana na hayo wengine wachafu chumbani na jikoni hutamani kulala kitandani, hutamani kukaa mezani kula chakula. Ukiachana na hilo wengine eti wanabadilisha mboga sasa sijui kuna K yenye vitunguu swaumu nyingine ina samaki, nyingine kuku wa kyenyeji ...mi sijui.
Nimeoa nina watoto watatu na mke wangu kwa kweli ni mzuri na anajitahidi sna kunihudumia kila kitu ila nachepuka mpaka naona aibu ya nafsi na hata nikiulizwa kwanini nachepuka SIJUI kabisa
. Sasa nataka nipunguze kidogo au niache kabisav