FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,409
- Thread starter
- #101
Nikiwa std seven babu yangu kaja kututembelea ,amekaa sitting room tunampikia kitoweo cha kuku jioni hiyo..
Mara tunaenda kumwita babu chakula tayari twende mezani haitiki
ita babu babu acha utani bwana chakula kimeiva haitiki ,baba hayupo kasafiri mama kasafiri..
tulivyoona tunatikisa haamki tukakimbia kwa jirani yetu alikuwa nesi kumwambia tunamwamsha babu haamki
Tukaja nae kumcheki katwambia tutoke nje...pata picha hali ilikuwaje hapo kumbe babu kishafariki baba hayupo mama hayupo
sitaki kukumbuka !
Mara tunaenda kumwita babu chakula tayari twende mezani haitiki
ita babu babu acha utani bwana chakula kimeiva haitiki ,baba hayupo kasafiri mama kasafiri..
tulivyoona tunatikisa haamki tukakimbia kwa jirani yetu alikuwa nesi kumwambia tunamwamsha babu haamki
Tukaja nae kumcheki katwambia tutoke nje...pata picha hali ilikuwaje hapo kumbe babu kishafariki baba hayupo mama hayupo
sitaki kukumbuka !