Sitasahau siku niliyonusurika kutolewa sadaka

yaaan ungekuwa zaidi ya sadaka ya haruni i meen sadaka ya kuteketezwa, i mean burning offering
 
Ila na wasiwasi na elimu yako bro.kwanza habar ukiunganisha kuna baadhi ya sehem ni unfit.usalama wa taifa waliongozana na polisi wawili

Ila unaonekana ni kizazi cha.com wenzio watakuw wamekuelew ila mm hapana labda siku nyingine
 
Nakujibu kama ifuatavyo;
1. Nimeamua kupunguza mlolongo wa maneno kwa kuacha vitu visivyokuwa na maan ili kwenda moja kwa moja katika mada husika. Nisingependa kuitaja shule na endapo ningeitaja ningeanzisha mada au mjadala mwingine. Kukusaidia hiyo shule miaka yote toka kuanza kwake haijawahi kutoka katika kumi bora ya kitaifa
Nakujibu hivi
1.Tambua sitoitaja hiyo shule na endapo ntafanya hivyo ntaanzisha mjadala mwingine maana asilimia kubwa ya wachangiaji wa jf ya sasa ni bendera fuata upepo na uwezo wa kuhoji ni mdogo sana. Lakini fahamu sio kila shule ya boarding ina ukuta na gate la kuingilia. Na tambua kuwa kuna baadhi ya shule za boarding wana kijiji wanaweza hata kukatiza mazingira ya shule bila tatizo kwenda na kutoka vijijini mwao. Fahamu hilo kwanza.
2. Yes nilikuwa namiliki Siemens C9 na darasani kwetu 90% ya wanafunzi walikuwa nasimu kuanzia SIemens, Motorola, Samsung, Nokia 3310 (kama unaijua) sonyericcson na aina zingine za simu kulingana na uwezo wako. Kama kipindi hicho hukuweza kumiliki simu ni wewe hatufanani uwezo.
3. Ndio maan anasema humu watu ujuaji mwingi lakini hamna kitu. Ndio shule yetu ilikuw na libarary amabapo Prep za watu wa kidato cha tano na sita zilikuwa zinafanyikia libarary na wale wa form one mpaka four ni madarasani. Kuhusu shule za sekondari kutokuwa na libarary nikuulize swali dogo tu, hivi unategemea shule amabayo inaingia kumi bora kitaifa miaka yote ikose libarary ya wanafunzi wake? Toka kuanzishwa kwake haijawahi toka kumi bora na kuhusu vitabu vipo vya kutosha mpaka vingine vinakosa wanafunzi kwa maan ya kuwa mpaka mwalimu analazimisha watu wachukue vitabu ila watu hawataki kuepuka mabo ya kutunza kitabu ukizingatia library vipo vya kutosha tu.
4. Hili nalo swali mkuu?Tunatofautian upeo kwa nini hukuuliza suma hakunishauri nichukue ela ili nae apoate japo kidogo badala yake akanishauri nirudishe kitabu huku nae akifuatilia kwa nyuma kujua ni watu wa aina gani?
5. Kwnye hili ndio ulipoonesha kuwa hujaelewa contents ya mada yangu yote. kwa ulivyoelewa wewe wale walikuwa ni wateja. Kukusaidia wale hawakuwa na nia ya mtihani ila ni watu amabao walikuja kuchunguza kama kuna uvujifu wa mitihani ila mbinu waliyotumia ndio ilikuwa sio.
6. Shule za boarding zote kuna mwalimu wa zamu anakaa ofisini mpaka saa nne usiku baada ya muda wa prepo kwisha ndio anaenda kwake. Na kama umepitia boading usingeuliza haya maswali kuhusu giza kengele ya chakula cha jioni inapigwa saa kumi na mbili na dakika 45 ndio muda huo kengele zinapigwa. Sasa kupitia hizo hatua unategemea giza litakuwa bado?
 
Ila na wasiwasi na elimu yako bro.kwanza habar ukiunganisha kuna baadhi ya sehem ni unfit.usalama wa taifa waliongozana na polisi wawili

Ila unaonekana ni kizazi cha.com wenzio watakuw wamekuelew ila mm hapana labda siku nyingine
Duh naamini wengi uelewa mdogo sana wewe mmojawapo, kuhusu wasiwasi wako juu ya elimu yangu hilo halikuhusu nachoshukuru elim yangu imenisaidia mimi na taifa kwa ujumla.
Nimeliweka tukio kama lilivyokuwa sijalazimisha mtu kulikubali.
 
Kidogo nmepata mwanga ungeandika yote ayo wala tusingeoji uli summarize sana
 

Mkuu hongera, umejitahidi kuandika ingawa bado hujanirishisha.

  1. Ilikuwa kuhusu cafeteria, iko ndani ya shule au nje? Ni umbali gani kutoka bwenini mpaka cafeteria?
  2. Kwenye simu nimesema you must be very special, seems you were. That case is closed.
  3. As long as hujaitaja shule, naomba niendelee kubaki na opinions zangu. Na naheshimu zako pia.
  4. Yes, that was the awkward thing, of all there is to think about, Suma straight akakwambia hao ni usalama! Inawezekana kama usalama walikuwa na tabia ya kuja shuleni kwenu mara kwa mara, hii nayo tuiache hivi hivi.
  5. Nimeielewa content vizuri, nilichojiuliza ni vile mtafuta mtihani anakwambia kwamba kaja na mteja wake kabisa, most likely hiyo haisound sahihi, kwa sababu mteja anatakiwa kusubiri aletewe siyo wakatafute naye.
  6. Unaweza kuielezea tena hiyo point kwa kuweka timing? Means kengele imegonga saa ngapi, nyinyi mmezunguka saa ngapi mpaka kufikia muda wa wao kuondoka? Weka tu estimates.
NB: Hii ni story tu, hata tukisema siyo ya kweli wewe haikupunguzii kitu chochote.

Kwa hiyo punguza personal attacks kwa wanao ikosoa.
 
Amesoma Kibaha Sec huyo asiwapige chenga nyingi.
 
Nitajie mkuu maana kuja hadi bwenini hapo naingiwa na wasi wasi kiufupi hii story sio yako na umeambiwa na mtu aliesomea diploma kama sikosei ya ualimu kule ndio usalama huwepo hususan kipindi cha mitihani
Wewe kusoma shule zenye sheria kali haimanishi kua shule zote zipo hivyo. Nakupa mfano tu wa shule mbili, umbwe boys na lyamungo boys zote zipo kills. Zile shule (nazan had leo) sheria hazifuatwi kivile. Kila ijumaa nilikua nalala moshi mjin afu narud j3 asbh sana, natoka bila ruhusa saw!!!

Shule hizi zipo jiran kama umbali wa km2 (,sina uhakika), nikisikia leo umbwe kuna nyama/ wali naenda kula huko msos wa usiku ikibidi nalala hukuhuko then naingia lyaboys asbh!!!

Ikitokea mshikaj wangu toka home kaja kunipa hi, halal gest bali analala hapohapo skul bwenn kwenye hvyo vtanda vya gorofa then asbh anaondoka.

Wale wazee wa kitimoto na pombe za kichaga, bangi na viroba pamoja na vibinti ilikua ni kujipangia ratiba yako tu mkutane saangapi.
Hizo ni mifano tu ila naamini kuna shule matata sana zenye wanafunz vichwangumu zaidi na
UFAULU WA KULE UPO JUU TU PAMOJA NA TABIA HIZO MBOVU.
 
Hujui kueleza story
Yaani sijaelewa hata kidogo

Wewe ukitunga Maswali 05 kisha yanapelekwa kwa mwanafunzi wa tuition...

Anyway nilisoma hii story lengo langu nikajua walitaka kukugegeda kama ni bi Dada.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…