Sitasahau haya maisha haya

Sitasahau haya maisha haya

Mkuu nimefatilia visa vyako niseme tu kwanza unamoyo wa subra unauvumilivu mkubwa sana hakika mm sina huo moyo mwanamke ajib shit dharau nikaushe siwez tena mwanamke hana hata chembe ya huruma wala shukran ningeshafukuza kitambo sana ila ulichelewa sana kumuacha huyo hta miez 6 hafai kweny mahusiano ni km kirusi kilikuongezea tu matatizo.

Yan nakaa chin najifikria kwann alikuwa anakufanyia vitimbi vikalk sana lkn bado upo nae au ndio kupenda upofu!!!!?????
Mapenzi upofu
 
Hakuna aliyezaliwa na hela. Wanawake wengi huwakimbilia wanaume waliofanikiwa na hawajui wengine walipitia ktk shida ya kupambana km mtoa uzi.

Ukitoa mapenzi, hakuna kitu chochote mwanamke anaweza kukupa.

Mwanamke analingia mbususu lkn kwenye masuala mengine hakuna kitu. Wanajiona very special

Baada ya mtu kufanikiwa, wanajipendekeza. Ndiyo maana huwezi kumkuta mwanaume aliyefanikiwa anahangaika kumpenda mwanamke, yupo radhi asafiri, akae huko hata miaka 3 anafanya biashara kuliko kukaa na mwanamke nyumbani
Labda mwanamke wako hana cha kutoa zaidi mbususu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom