Aganza Maisha
Senior Member
- Jul 7, 2019
- 111
- 298
Sema nini mdogo wangu,mi nakuelewa! Sema nini kaka, apo unafeli..kukata tamaa apo unafeli sana. Komaa man, 1year ndogo sana kwa game la ajira la sasa. Ajira zinazingua,ila ukikomaa sana,unascore mzee. Kibaruani nilipo,kuna mwana amegraduate 2013 anajitolea,but I bet hana muda atascore tu (namcheki anavyokomaa). Ukikomaa unatoboa mzee,this is my personal experience na experience kupitia wanaWakuu naandika huu uzi inshort nmeridhika sahivi sina hta nyege ya ku apply kazi yotote ile kama kutafuta kazi nmetafuta nimechoka na upper second nzuri tu lakin ndo hvo nmeenda kila kona patupu, nmeenda taasisi zote unazozijua wewe hapa dar patupu, nimefanya kila naloweza fanya nipate hta connection patupu, sisi watoto wa wakulima ambao hatuna ndugu huko maofisin iwe bahat yako tu, nimeshangaa hapa mtaani mtoto wa mtu mkubwa tu hana kazi tunacheza ps wote kitaa.
Sasa sahiv me si apply kazi kama ipo, ipo tu siforce mambo huwez jua mungu ananiepusha na nini, utakuta mtu anatafuta kazi anaandika uzi humu Jf lijitu linatoka wapi lina comment shit eti jiajir how wkt sina pesa, ukisema uende bank unakutana na collaterals mwingine anakwambia uza mchicha, nyanya hivi msom wa chuo auze nyanya gengen kwel?? Au mwingine anakwambia uza karanga wtf??. Afu wa form4 afanye nn??
Nashukuru mungu wazaz wangu ni wazma wote nakula, nakunywa wanajua hali halis sina kaz wananihidumia. Nikiamka asbh nakunywa chai fresh, mchana nakula usik nakula maisha yanatak nn kwangu. Nikichoka naenda seblen kuchek movie sina habar life linaenda nimepoteza pesa nyingi kutafuta kaz bila mafanikio sasa nimeamua kutuliza akili. Kama biashara nilianza ikafa utanambia nn nifanye?.
Wale jobseekers wenzangu tusikate tamaa kama ipo ipo tu usiforce mambo. Wanaokwambia fanya biashr unakuta yy anakaz na mikopo anayo. Trust nobody except your parents and Live your life.