Kuna mchungaji flani sijui redio gani hivi , yy kila nikifungulia akipigiwa simu na msikilizaji aka muelezea shida yake...
Majibu ya huyo Pastor ni "utakuwa uchukuliwa nyota yako, njoo kesho saa 3 asubuhi njia ya Airport- Ilemela Mwanza" nimesahau kanisa lake lakini.
Mungu ni mkubwa, nenda uka ombewe.
Au tafta wazee wa jadi kijijini....wakupe mzee mtaalamu...
Jaribu
JPM KAMATA WEZI