BekaNurdin
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 2,267
- 2,044
Wakorintho wa pili sura ya 9:6 na kuendelea….PELEKA MIFUKO ULOAHIDI MKUU😂😂😂
Unapaswa kutoa kwa moyo wa hiari na kupenda. Alichofanya huyo mchungaji ni kutengeneza mazingira ya kulazimisha mtu kutoa mchango pasipo hiari yake. Wachungaji huwa wanakosea sana!

