Pole sana ndg. Nenda katoe hiyo ahadi yako haraka hata kabla hawajamaliza ujenzi huo. Jua kwamba; Mungu wetu hadhihakiwi. Ungeliwaambia; Hapa sina kitu zaidi ya mia 5 mfukoni lakini Kama Mungu atanifanikisha katika mishe zangu hikiwa hapa kwenu naahidi kuleta kamchango kangu mapema sana. Ni nani angekuuliza??
Umeahidi, timiza ahadi yako haraka kwani Mungu hadhihakiwi. Ahadi iliyowekwa kwa Mungu ni nadhiri. Usikawie kuitangua.
Umeahidi, timiza ahadi yako haraka kwani Mungu hadhihakiwi. Ahadi iliyowekwa kwa Mungu ni nadhiri. Usikawie kuitangua.
