Nakumbuka ilikuwa mwaka 1998 nilikuwa kwanza nina miaka 2 ya ukaaji katika nchi hii ya Mozambique.
Kipindi hicho mapenzi na kila aina ya starehe vilikuwa vimeshamiri sana katika hii nchi, sababu miaka kadhaa walikuwa wametoka kupigana vita vya wenyewe Kwa wenyewe
Na Mimi ndiyo ilikuwa Mara yangu ya kwanza kuingia kwenye mapenzi na mwanamke.
Basi niliuza Card, Maua, na vitu vyote vinavyohusiana valentine na ilikuwa siku nzuri sana kwangu Kwa biashara.
Imefika mida kama ya saa moja usiku, kaja mpenzi Wangu na zawadi, akanipa nikapokea, mtihani ukaja kwangu, sina cha kumpa, ikabidi adai, wewe vipi mbona unipi zawadi, nikamwambia nimeuza zote.
Ilikuwa ugomvi mkubwa sana nusuru tuachane.
Kipindi hicho mapenzi na kila aina ya starehe vilikuwa vimeshamiri sana katika hii nchi, sababu miaka kadhaa walikuwa wametoka kupigana vita vya wenyewe Kwa wenyewe
Na Mimi ndiyo ilikuwa Mara yangu ya kwanza kuingia kwenye mapenzi na mwanamke.
Basi niliuza Card, Maua, na vitu vyote vinavyohusiana valentine na ilikuwa siku nzuri sana kwangu Kwa biashara.
Imefika mida kama ya saa moja usiku, kaja mpenzi Wangu na zawadi, akanipa nikapokea, mtihani ukaja kwangu, sina cha kumpa, ikabidi adai, wewe vipi mbona unipi zawadi, nikamwambia nimeuza zote.
Ilikuwa ugomvi mkubwa sana nusuru tuachane.