Sitaki tena msichana bikra!!

Sitaki tena msichana bikra!!

Jaman wana jf kumbe
mwanamke bikra msumbufu kinoma,ukimwambia hiv hataki, vile anagoma
kabisaaa! Aah me sitaki tena.Au wana jf niambieni nifanyaje?

Sisi mabikra huwa tuna aibu sana kwenye 6*6 ndo maana unatuona kama wasumbufu ila tukishazoea mbona mwenyewe utapenda!
 
Unavyowaza kuitoa ndivyo na wakaka mwengine alivyowaza kumtoa dadako bikra yake.
 
Jaman wana jf kumbe mwanamke bikra msumbufu kinoma,ukimwambia hiv hataki, vile anagoma kabisaaa! Aah me sitaki tena.Au wana jf niambieni nifanyaje?

Nenda AMBIANCE PALE AFRIKA SANA wapo kibao ambao siyo bikra, hutaangaika tabibumtaratibu , Wa pale Break ni P..umbu zako.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom