Sitaki mchumba, nimeumia sana na mapenzi

Sitaki mchumba, nimeumia sana na mapenzi

Nimeteseka sana na mapenzi sitaki tena kuumia mimi nimekuja hapa kuwaambia sitaki tena mpenzi.
Huku kunaitwa mtakuja, usijali njoo kwangu moyo wako utatulia kwakwel [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
 
Nimeteseka sana na mapenzi sitaki tena kuumia mimi nimekuja hapa kuwaambia sitaki tena mpenzi.
Dogo pole sana, posts zako humu JF zimejaa utata;
1. nimemgegeda dada yangu
2. Nina roho mbaya sana
3. Nimemgegeda nisiyempenda
4. Nimetenga m3 kufuatilia ukoo wa mama na wale wote waliomgegeda
5. Nimemfumania wife akidokoa nyama jukoni
JF hawa ndo great thinkers? Ile formula ya 4:1 imetimia!
 
Dogo pole sana, posts zako humu JF zimejaa utata;
1. nimemgegeda dada yangu
2. Nina roho mbaya sana
3. Nimemgegeda nisiyempenda
4. Nimetenga m3 kufuatilia ukoo wa mama na wale wote waliomgegeda
5. Nimemfumania wife akidokoa nyama jukoni
JF hawa ndo great thinkers? Ile formula ya 4:1 imetimia!

Mkuu ni formula gani hiyo?
 
Umejiumiza mwenyew kwa kuchambua mchele mzima halaf ukapuuzia mavunjiko
Endeleeni kuwakubalia mahb,sharobaro na wenye pesa muone kama mtaacha kulia.....aliekupnda kwa dhati ajab ulimpa ovyoo kaa chini tafkr
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom