Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,610
sasa unanioa lini? Naona mawazo yetu yapo sawanaam! Kwani nina wivu kukaa nyumba za kupanga ni hatari na humu ndani ya madaladala michezo ya kupeana namba za simu hupendwa sana!
sasa unanioa lini? Naona mawazo yetu yapo sawanaam! Kwani nina wivu kukaa nyumba za kupanga ni hatari na humu ndani ya madaladala michezo ya kupeana namba za simu hupendwa sana!
Nguvu unazo?? Usije kuwachezesha kiduku wakati wenzako wanataka alaji.
ongeza lakini kwanza zungumza na wa kwanza mpaka akubali
isiwe ubabe na lazima
Hakuna aja ya kuomba ruhsa toka kwa mke mkubwa. kawaida hakuna anaekubali. Pili hakuna aja ya kuangalia kipato chako maana huyo utakaeoa nae lazima aje na ubunifu wa kipato. We oa na kila kitu kitajipanga. Asili lazima itachukua nafasi.
Mkuu kama unaweza kusoma hili graph (kuhusu sex drive ya wanaume na wanawake), zingatia kwenye maamuzi yako! (Note: x-axis, Age)
Inshalla!Hakuna aja ya kuomba ruhsa toka kwa mke mkubwa. kawaida hakuna anaekubali. Pili hakuna aja ya kuangalia kipato chako maana huyo utakaeoa nae lazima aje na ubunifu wa kipato. We oa na kila kitu kitajipanga. Asili lazima itachukua nafasi.
mbona ya kawaida tu hayo?wewe ongeza tu,nichague mimi
Wa kanza hakuridhishi? Kuwa makin ktk uchaguzi wako, usije kaa naye muda mfupi ukata kuoa watatu na pengine wa nne! Kila la kheri kaka!
sasa unanioa lini? Naona mawazo yetu yapo sawa
mim naona kama ubabe ndio unaotumikaga maana haiingii akilini mwanamke akubali kuletewa mwanamke mwenzake.
Kuna jirani yetu ameoa mke wa pili,na hao wake mwanzoni wakawa wanagombana ile mbaya lkn sasa hivi wanadai wanapendana.
Wanasindikizana kila mahala,wanavaa sare lkn ajabu yule mke mkubwa anakonda kadri siku zinavyokwenda,yaani amekua kama katoto kadogo ila yule mdogo alikuja kembamba lkn sasa hivi amenenepa ile mbaya.Na yule wa kwanza amekua na uso wa huzuni tu utadhani ana depression.
Duh! Hii kali, kumbuka kuoa ni jambo la kidini na limeruhusiwa kwa 'wanaoweza' lakini ni lazima umpe haki yake mke wa kwanza, inabidi umwambie na akubali na sio kumficha!.Na kumbuka hii ni rukhsa si wajibu wala fardha na asili yake nikutaka kuwahifadhi mayatima na wadhaifu kwenye jamii ndio maana imesemwa ""Na ikiwa mnaogopa kuwa hamtowafanyia mayatima uadilifu, basi oeni mnaowapenda katika wanawake, wawili au watatu au wanne. na mkiogopa kuwa hamwezi kufanya uadilifu, basi mmoja tu." An-Nisaa: 3
We ndo mtu
utanifaa kabisa andaa gari na nyumba basi
acha zako uadilifu ulitaka kumshinda mtume seuze wewe...hakuna muadilifu linapokuja suala la ukewenza ni kuwatia wenzenu kwenye kikaango cha motoNaam najiamini na uadilifu!
[/B]
nisubiri hadi lini sasa?Baada tu ya taratibu kukamilika!
acha competition zisizo na maana basi?Dogo, wewe tafuta wa kukutoa ujana kwanza. Niachie hichi kibabu nikifundishe kuvuka barabara basi.