Ebhanaaaaah kwa hiyo shooo nzima na kunena kwa lugha hakuna cha maana mlichokiachaa ??
Au wewe ndo tulipishana ubaloziii wa trump unataka kwenda kumsalimia shemeji yako make huko sio wako tena
Mkuu usinikatishe tamaa, ipo siku yangu tuu. Hatimaye nifanikiwe.
bhasiii ungelimuomba akuachie Harrier make ungekuwa ushaiuza na kununua paso alafu wale waliomaliza pesa zako za bumu wajipange folen tena
Kuna cha kujifunza apa wadogo zako....nashkuru sana mkuu ni mifano yako iliyolenga msisitizo
Sent using Jamii Forums mobile app
Tandale ndio Kata chafu duniani???Mkuu kipaji gani cha kuishi kwa Bibi Nyau
Dada angu wa Ng'apa mambo yakoje ...Hahahahaa hata sisi wa ng'apa iko hivyo tunatofautiana tuu mambo mambo flan flan...lakini ishu ya umbali inabaki kuwa changamoto
Baah,.kwelii bwana wewee??Dada angu wa Ng'apa mambo yakoje ...
Boss wenu bahati mbaya anasemaje..
Aisee me mdogo wako kabisa Mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa ..Baah,.kwelii bwana wewee??
Hahahahaa ulijuajee kweli ww damu yangu,.nilikuwa Lindi seco enzi za headmaster mng'umbaKweli kabisa ..
Nilisomaga Msinjahili hapo, bahati mbaya namjua sana ile nyumba yake pale karibu na zahati ya halmashauri ndo ilikuwaga mitaa yangu ya kucheza mpira .
It was back then 2006.
nadhani enzi hizo wee ndo ulikuwa sisterduu wa Mkonge pale au lindi sec.
Sent using Jamii Forums mobile app