Monsignor
JF-Expert Member
- Jan 29, 2009
- 523
- 13
Watatamba sana maana wanajua fika kuwa watanzania wengi ni bongolala.
Damn you Ustaadh! I have an issue with you. Inaonekana shule ulikuwa mtu wa kuingia na honda ama nyenzo kwenye paper.
Captain Hadock si mtu wa swala tano na hana dini anakula kilaji tena hard liquor unawezaje kumfananisha na ustaadh