Sitaamini wanawake tena than my mom

shukuru mungu tu kaka ukizingatia haujaduu naye,may b amekuepushia na maafa makubwa,ila utulie sasa ucje kuingia mkenge tena,naomba kuwasilisha hoja
 
hapo ndipo wanaume wanapokosea....
Jinsi unavyomtokea msichana ndivyo utakavyopokelewa.........
Na aina ya wasichana pia muiangalie, si kila msichana anaweza kuwa mke/mpenzi na si kila mwanaume anafaa kuwa mume /mpz.

Nakumbusha jinsi utakavyomtokea mwanamke ndivyo utakavyotreat-iwa, ukijifanya unazo atazitumia kweli

Mawazo mazuri, ila utajuaje kama huyo msichana hafai kwa uhusiano au ndoa.
 
Wanawake wasio aminika si hao wanao jidai ma single tu :A S shade:
 
Mi nimshukuru kwa taarifa kuwa kumbe una "garrry yako". Tungejuaje?

Swali la kizushi; demu wako halijui garrrY lako? Manake anasubiri upite na garrrry lako asilijue?

Chezeye garrry weye? Gari mtego lol
 
aaah....yaani wewe vizinga vyote ivo hushtuki na unatoa tu na mzigo hujapewa.....we wakuja kweli kwa hawa viumbe...pole
 
N i kisa cha kweli imenitokea leo.

Huyu binti, anasoma hapa katikati ya jiji,
mara kwanza nilikutana naye alikuwa amevaa kimtego, nikaomba namba akasema hana simu.

Hivyo tukawa tunawasiliana na simu ya ndugu yake nyumbani kwao, nikamnunulia simu ya ukweli ili tuwe hewani.

baada ya muda akanipiga mzinga kwa Pasaka nikampa, tukaonana, nikamtokea akakubali ombi langu.\

Kisa chenyewe

Baada ya kuona, ninaweza kumsaidia mambo madogo madogo, akawa ananipiga mizinga ya hapa na pale nikadhani ya kawaida. binti kila tumepanga kuonana anasema hana muda anaumwa.

Siku kadhaa rafiki yake akasema huyo demu ameibiwa simu hivyo anaogopa kuniambia, nimpe pesa yeye akamkabidhi ili akanunue simu.

Leo akasema hayuko chuo yuko nyumbani kwao ana birthday yake nikasema poa tumeet kwao akadai nisienda coz hakuna sherehe yoyote zaidi ya keki, hibyo anaomba pesa ya keki, sikukubali kama nitatuma....

tukawa tunachat na kusema hayuko chuo hivyo nimtumie pesa ya keki, mara ikaingia sms ikisema "niko chuo" (simu ya rafiri yake wa chuo anatumia yeye alishaibiwa niliyomnunuliwa kwa madai yake).

Mchana wakati natoka kwenye kikao nipo na gari nikamuona amesimama akitokea chuo, anasubiri gari yangu ipite ili avuke.... nikampigia simu nikamwambia uko wapi ili kuhakikisha kama yuko homu bado.

Akajibu niko nyumbani, siko chuo..... nikamwambia mbona nakuona unasubiri gari uvuke barabara.... simu ya rafiki yake ikakatwa... nikamtext ni shetani mkubwa ambaye sijawahi kumuona maishani. Akajibu Nikome kumwita shetani mimi na familia yangu ndiyo shetani.........


stori ndefu lakini hapo nimefupisha....nimefuta namba yake, na kuanza kumsahau kidogo ingawa mood ya kufanyakazi haipo kabisa leo.....


Sitaamini wasichana tena...... Nawasilisha

wellcome to the world of SODA YA KOPO, Mr Dooky.
 
Jamani mineno inakutoka kama umemuandikia nyumba,kumbe kisimu au ulikua huna pesa ya keki ndio mana ukasusa?
kwani ulipokua ukitoa pesa ulimwambia kua nakupa ili ujeunivulie nguo? kua mstarabu ......
 
nywere zilisha tengenezwa lakini anakwmbia naomba hela niende salon wakati huo amejifunga kilemba invoice ndogo ndogo usijali na huenda alikua na jamaa yake anamwacha polepole umechuka maamuzi ya haraka muno je ungefumania
 
Asa mkuu,we ulvomuita shetani,ulitegemea ye akuite mungu?mkuki kwa nguruwe eee!
 
Mi nimshukuru kwa taarifa kuwa kumbe una "garrry yako". Tungejuaje?

Swali la kizushi; demu wako halijui garrrY lako? Manake anasubiri upite na garrrry lako asilijue?

Chezeye garrry weye? Gari mtego lol

huyo jamaa fix tu.
 
pole jamani
mzinga wa keki tyu ndo umwite mtu shetani?
keki sh ngapi bwanaaa... BY THE WAY
kwa nini wanaume wengi wakimuomba binti no ya simu akisema hana simu mnapenda kutoa hela ya kwenda kununulia simu?
kwani mwasiliano lazima yawe ya simu?
wengi walishakula sana izio hela zenu
sio huyo tu
taratibu jameni

Hujambo wewe?
ndio hapo mabinti hua siwaelewi, siku ya pasaka nilikutana na mabinti walikua wanaenda Club tukawabeba walikuwa ni wanafunzi wa chuo, kufika pale Club nikawalipia wote kiingilio mimi nikabaki nje kuna sehemu nikawa napiga Lager zangu wao wakaingia ndani, binti mmoja akomba namba yangu kweli mtoto mzuri ana sifa zote na alikuwa bomba ile mbaya, nikampa namba yangu baada ya muda kidogo nikaingia mle ndani nikamkuta anakunywa nikamuongezea castle rite kama 3 hivi akalewa taabani, baadae alfajiri tukawarudisha kwao, kesho yake mchana akanipigia nikaongea nae mazungumzo kawaida tu, jumanne ya pasaka akasema ilikuwa ni birthday yake kwa "yeye alivyosema" nikamwambia poa nitakutoa, akasema yuko na marafiki zake nikadhani wanakuja wawili wakaja wanne na yeye watano, tukaenda sehemu tukapata Bia na nyama choma then nikawarudisha, lakini nikamuuliza inakuaje mnakuja watu kibao hata kwenye gari tunakua hatutoshi? akasema rafiki zake walishapanga kutoka kwa hiyo asingeweza kuwaacha..

baada ya siku tatu akanipigia kwa namba nyingine akasema simu yake imeibiwa, nikamuuliza aina gani na inauzwa kiasi gani akaniambia aina ya simu na bei yake mpya ni 65,000.. nikamwambia poa nitakuchangia 30,000.. nikamshangaa anasema anataka kununua Nokia X3 bei yake ni Laki 3, nikamwambia kama ulikua na simu ya 65,000 mimi nitakuchangia 30,000. tu zaidi ya hapo haiwezekani... akajifanya amekeasirika nikampotezea

Siku iliyofuata akanipigia kwa namba nyingine akaniuliza niko wapi? nikamwambia nipo somewhere huwa wanauza chakula na Bia... akaja na rafiki yake pale mimi bila kujua wakaagiza chakula cha 15,000 yeye na rafiki yake pamoja na red Bull na Castle rite, nikalipa wakati tunaendelea kunywa akanitumia ujumbe ana shida na 20,000. nikamwambia kwanini hukuniambia mapema? baada ya nusu saa tena nimtumie credit, " nikamwambia credit ya nini wakati tupo face to face"
nilichofanya nikampa 20,000 nikalipa chakula na nikampa onyo next time ukiweka order bila kuniambia itakua imekula kwako nikaachana nae

muda hautoshi naishia hapa lakini mabinti ni wapuuzi tena sana ndio maana hua wanamegwa na kuachwa, Msosi, Simu, vitu ambavyo havina tija wala thamani kama utu wao....

Pole sana mkuu kwa yaliyokukuta nakushauri tulia hao mademu wa chuo hawana maana hata kidogo...
 
Manyanza!! Wewe shujaa kwelikweli, kuburuzwa kote huko hata ushtuki! Pole sana. Hebu tudokeze, mwisho wake ilikuwaje? Yani kama ni Buzi, wewe ulikuwa Buzi la maziwa (la-kizungu)
 
Manyanza!! Wewe shujaa kwelikweli, kuburuzwa kote huko hata ushtuki! Pole sana. Hebu tudokeze, mwisho wake ilikuwaje? Yani kama ni Buzi, wewe ulikuwa Buzi la maziwa (la-kizungu)

mimi mtoto wa mjini amekula kama laki moja na kidogo lakini cha moto alikipata
 
Mbona hii ishu ndogo saana kaka, ukisikia nyingine si utashangaa, endelea kuwaamini ndivyo walivyoumbwa hao bana,
N i kisa cha kweli imenitokea leo.

Huyu binti, anasoma hapa katikati ya jiji,
mara kwanza nilikutana naye alikuwa amevaa kimtego, nikaomba namba akasema hana simu.

Hivyo tukawa tunawasiliana na simu ya ndugu yake nyumbani kwao, nikamnunulia simu ya ukweli ili tuwe hewani.

baada ya muda akanipiga mzinga kwa Pasaka nikampa, tukaonana, nikamtokea akakubali ombi langu.\

Kisa chenyewe

Baada ya kuona, ninaweza kumsaidia mambo madogo madogo, akawa ananipiga mizinga ya hapa na pale nikadhani ya kawaida. binti kila tumepanga kuonana anasema hana muda anaumwa.

Siku kadhaa rafiki yake akasema huyo demu ameibiwa simu hivyo anaogopa kuniambia, nimpe pesa yeye akamkabidhi ili akanunue simu.

Leo akasema hayuko chuo yuko nyumbani kwao ana birthday yake nikasema poa tumeet kwao akadai nisienda coz hakuna sherehe yoyote zaidi ya keki, hibyo anaomba pesa ya keki, sikukubali kama nitatuma....

tukawa tunachat na kusema hayuko chuo hivyo nimtumie pesa ya keki, mara ikaingia sms ikisema "niko chuo" (simu ya rafiri yake wa chuo anatumia yeye alishaibiwa niliyomnunuliwa kwa madai yake).

Mchana wakati natoka kwenye kikao nipo na gari nikamuona amesimama akitokea chuo, anasubiri gari yangu ipite ili avuke.... nikampigia simu nikamwambia uko wapi ili kuhakikisha kama yuko homu bado.

Akajibu niko nyumbani, siko chuo..... nikamwambia mbona nakuona unasubiri gari uvuke barabara.... simu ya rafiki yake ikakatwa... nikamtext ni shetani mkubwa ambaye sijawahi kumuona maishani. Akajibu Nikome kumwita shetani mimi na familia yangu ndiyo shetani.........


stori ndefu lakini hapo nimefupisha....nimefuta namba yake, na kuanza kumsahau kidogo ingawa mood ya kufanyakazi haipo kabisa leo.....


Sitaamini wasichana tena...... Nawasilisha
 
Duh anakuja na rafiki zake watano "5" kweli hata wewe mvumilivu sana, lol, nimeipenda hii zaidi mheshimiwa


Hujambo wewe?
ndio hapo mabinti hua siwaelewi, siku ya pasaka nilikutana na mabinti walikua wanaenda Club tukawabeba walikuwa ni wanafunzi wa chuo, kufika pale Club nikawalipia wote kiingilio mimi nikabaki nje kuna sehemu nikawa napiga Lager zangu wao wakaingia ndani, binti mmoja akomba namba yangu kweli mtoto mzuri ana sifa zote na alikuwa bomba ile mbaya, nikampa namba yangu baada ya muda kidogo nikaingia mle ndani nikamkuta anakunywa nikamuongezea castle rite kama 3 hivi akalewa taabani, baadae alfajiri tukawarudisha kwao, kesho yake mchana akanipigia nikaongea nae mazungumzo kawaida tu, jumanne ya pasaka akasema ilikuwa ni birthday yake kwa "yeye alivyosema" nikamwambia poa nitakutoa, akasema yuko na marafiki zake nikadhani wanakuja wawili wakaja wanne na yeye watano, tukaenda sehemu tukapata Bia na nyama choma then nikawarudisha, lakini nikamuuliza inakuaje mnakuja watu kibao hata kwenye gari tunakua hatutoshi? akasema rafiki zake walishapanga kutoka kwa hiyo asingeweza kuwaacha..

baada ya siku tatu akanipigia kwa namba nyingine akasema simu yake imeibiwa, nikamuuliza aina gani na inauzwa kiasi gani akaniambia aina ya simu na bei yake mpya ni 65,000.. nikamwambia poa nitakuchangia 30,000.. nikamshangaa anasema anataka kununua Nokia X3 bei yake ni Laki 3, nikamwambia kama ulikua na simu ya 65,000 mimi nitakuchangia 30,000. tu zaidi ya hapo haiwezekani... akajifanya amekeasirika nikampotezea

Siku iliyofuata akanipigia kwa namba nyingine akaniuliza niko wapi? nikamwambia nipo somewhere huwa wanauza chakula na Bia... akaja na rafiki yake pale mimi bila kujua wakaagiza chakula cha 15,000 yeye na rafiki yake pamoja na red Bull na Castle rite, nikalipa wakati tunaendelea kunywa akanitumia ujumbe ana shida na 20,000. nikamwambia kwanini hukuniambia mapema? baada ya nusu saa tena nimtumie credit, " nikamwambia credit ya nini wakati tupo face to face"
nilichofanya nikampa 20,000 nikalipa chakula na nikampa onyo next time ukiweka order bila kuniambia itakua imekula kwako nikaachana nae

muda hautoshi naishia hapa lakini mabinti ni wapuuzi tena sana ndio maana hua wanamegwa na kuachwa, Msosi, Simu, vitu ambavyo havina tija wala thamani kama utu wao....

Pole sana mkuu kwa yaliyokukuta nakushauri tulia hao mademu wa chuo hawana maana hata kidogo...
 
Back
Top Bottom