hapo ndipo wanaume wanapokosea....
Jinsi unavyomtokea msichana ndivyo utakavyopokelewa.........
Na aina ya wasichana pia muiangalie, si kila msichana anaweza kuwa mke/mpenzi na si kila mwanaume anafaa kuwa mume /mpz.
Nakumbusha jinsi utakavyomtokea mwanamke ndivyo utakavyotreat-iwa, ukijifanya unazo atazitumia kweli
kinachokuuma nshajuwa ni kwamba bado ulikuwa hujamla mzigo so unawaza pesa zako,najuwa inaumaga kimoyomoyo,,,,ila nawe ulichemsha approach,ntaku pm nikupe maujanja
hapendwi mtu, Soda ya kopo tu. Ukimaliza kunywa unatupa.Hapendwi mtu pochi. Umeshindwa kununua keki kakata kamba.
N i kisa cha kweli imenitokea leo.
Huyu binti, anasoma hapa katikati ya jiji,
mara kwanza nilikutana naye alikuwa amevaa kimtego, nikaomba namba akasema hana simu.
Hivyo tukawa tunawasiliana na simu ya ndugu yake nyumbani kwao, nikamnunulia simu ya ukweli ili tuwe hewani.
baada ya muda akanipiga mzinga kwa Pasaka nikampa, tukaonana, nikamtokea akakubali ombi langu.\
Kisa chenyewe
Baada ya kuona, ninaweza kumsaidia mambo madogo madogo, akawa ananipiga mizinga ya hapa na pale nikadhani ya kawaida. binti kila tumepanga kuonana anasema hana muda anaumwa.
Siku kadhaa rafiki yake akasema huyo demu ameibiwa simu hivyo anaogopa kuniambia, nimpe pesa yeye akamkabidhi ili akanunue simu.
Leo akasema hayuko chuo yuko nyumbani kwao ana birthday yake nikasema poa tumeet kwao akadai nisienda coz hakuna sherehe yoyote zaidi ya keki, hibyo anaomba pesa ya keki, sikukubali kama nitatuma....
tukawa tunachat na kusema hayuko chuo hivyo nimtumie pesa ya keki, mara ikaingia sms ikisema "niko chuo" (simu ya rafiri yake wa chuo anatumia yeye alishaibiwa niliyomnunuliwa kwa madai yake).
Mchana wakati natoka kwenye kikao nipo na gari nikamuona amesimama akitokea chuo, anasubiri gari yangu ipite ili avuke.... nikampigia simu nikamwambia uko wapi ili kuhakikisha kama yuko homu bado.
Akajibu niko nyumbani, siko chuo..... nikamwambia mbona nakuona unasubiri gari uvuke barabara.... simu ya rafiki yake ikakatwa... nikamtext ni shetani mkubwa ambaye sijawahi kumuona maishani. Akajibu Nikome kumwita shetani mimi na familia yangu ndiyo shetani.........
stori ndefu lakini hapo nimefupisha....nimefuta namba yake, na kuanza kumsahau kidogo ingawa mood ya kufanyakazi haipo kabisa leo.....
Sitaamini wasichana tena...... Nawasilisha
Mi nimshukuru kwa taarifa kuwa kumbe una "garrry yako". Tungejuaje?
Swali la kizushi; demu wako halijui garrrY lako? Manake anasubiri upite na garrrry lako asilijue?
Chezeye garrry weye? Gari mtego lol
Madogo sana haya!
pole jamani
mzinga wa keki tyu ndo umwite mtu shetani?
keki sh ngapi bwanaaa... BY THE WAY
kwa nini wanaume wengi wakimuomba binti no ya simu akisema hana simu mnapenda kutoa hela ya kwenda kununulia simu?
kwani mwasiliano lazima yawe ya simu?
wengi walishakula sana izio hela zenu
sio huyo tu
taratibu jameni
Manyanza!! Wewe shujaa kwelikweli, kuburuzwa kote huko hata ushtuki! Pole sana. Hebu tudokeze, mwisho wake ilikuwaje? Yani kama ni Buzi, wewe ulikuwa Buzi la maziwa (la-kizungu)
N i kisa cha kweli imenitokea leo.
Huyu binti, anasoma hapa katikati ya jiji,
mara kwanza nilikutana naye alikuwa amevaa kimtego, nikaomba namba akasema hana simu.
Hivyo tukawa tunawasiliana na simu ya ndugu yake nyumbani kwao, nikamnunulia simu ya ukweli ili tuwe hewani.
baada ya muda akanipiga mzinga kwa Pasaka nikampa, tukaonana, nikamtokea akakubali ombi langu.\
Kisa chenyewe
Baada ya kuona, ninaweza kumsaidia mambo madogo madogo, akawa ananipiga mizinga ya hapa na pale nikadhani ya kawaida. binti kila tumepanga kuonana anasema hana muda anaumwa.
Siku kadhaa rafiki yake akasema huyo demu ameibiwa simu hivyo anaogopa kuniambia, nimpe pesa yeye akamkabidhi ili akanunue simu.
Leo akasema hayuko chuo yuko nyumbani kwao ana birthday yake nikasema poa tumeet kwao akadai nisienda coz hakuna sherehe yoyote zaidi ya keki, hibyo anaomba pesa ya keki, sikukubali kama nitatuma....
tukawa tunachat na kusema hayuko chuo hivyo nimtumie pesa ya keki, mara ikaingia sms ikisema "niko chuo" (simu ya rafiri yake wa chuo anatumia yeye alishaibiwa niliyomnunuliwa kwa madai yake).
Mchana wakati natoka kwenye kikao nipo na gari nikamuona amesimama akitokea chuo, anasubiri gari yangu ipite ili avuke.... nikampigia simu nikamwambia uko wapi ili kuhakikisha kama yuko homu bado.
Akajibu niko nyumbani, siko chuo..... nikamwambia mbona nakuona unasubiri gari uvuke barabara.... simu ya rafiki yake ikakatwa... nikamtext ni shetani mkubwa ambaye sijawahi kumuona maishani. Akajibu Nikome kumwita shetani mimi na familia yangu ndiyo shetani.........
stori ndefu lakini hapo nimefupisha....nimefuta namba yake, na kuanza kumsahau kidogo ingawa mood ya kufanyakazi haipo kabisa leo.....
Sitaamini wasichana tena...... Nawasilisha
Hujambo wewe?
ndio hapo mabinti hua siwaelewi, siku ya pasaka nilikutana na mabinti walikua wanaenda Club tukawabeba walikuwa ni wanafunzi wa chuo, kufika pale Club nikawalipia wote kiingilio mimi nikabaki nje kuna sehemu nikawa napiga Lager zangu wao wakaingia ndani, binti mmoja akomba namba yangu kweli mtoto mzuri ana sifa zote na alikuwa bomba ile mbaya, nikampa namba yangu baada ya muda kidogo nikaingia mle ndani nikamkuta anakunywa nikamuongezea castle rite kama 3 hivi akalewa taabani, baadae alfajiri tukawarudisha kwao, kesho yake mchana akanipigia nikaongea nae mazungumzo kawaida tu, jumanne ya pasaka akasema ilikuwa ni birthday yake kwa "yeye alivyosema" nikamwambia poa nitakutoa, akasema yuko na marafiki zake nikadhani wanakuja wawili wakaja wanne na yeye watano, tukaenda sehemu tukapata Bia na nyama choma then nikawarudisha, lakini nikamuuliza inakuaje mnakuja watu kibao hata kwenye gari tunakua hatutoshi? akasema rafiki zake walishapanga kutoka kwa hiyo asingeweza kuwaacha..
baada ya siku tatu akanipigia kwa namba nyingine akasema simu yake imeibiwa, nikamuuliza aina gani na inauzwa kiasi gani akaniambia aina ya simu na bei yake mpya ni 65,000.. nikamwambia poa nitakuchangia 30,000.. nikamshangaa anasema anataka kununua Nokia X3 bei yake ni Laki 3, nikamwambia kama ulikua na simu ya 65,000 mimi nitakuchangia 30,000. tu zaidi ya hapo haiwezekani... akajifanya amekeasirika nikampotezea
Siku iliyofuata akanipigia kwa namba nyingine akaniuliza niko wapi? nikamwambia nipo somewhere huwa wanauza chakula na Bia... akaja na rafiki yake pale mimi bila kujua wakaagiza chakula cha 15,000 yeye na rafiki yake pamoja na red Bull na Castle rite, nikalipa wakati tunaendelea kunywa akanitumia ujumbe ana shida na 20,000. nikamwambia kwanini hukuniambia mapema? baada ya nusu saa tena nimtumie credit, " nikamwambia credit ya nini wakati tupo face to face"
nilichofanya nikampa 20,000 nikalipa chakula na nikampa onyo next time ukiweka order bila kuniambia itakua imekula kwako nikaachana nae
muda hautoshi naishia hapa lakini mabinti ni wapuuzi tena sana ndio maana hua wanamegwa na kuachwa, Msosi, Simu, vitu ambavyo havina tija wala thamani kama utu wao....
Pole sana mkuu kwa yaliyokukuta nakushauri tulia hao mademu wa chuo hawana maana hata kidogo...