Yaani kila nikiiangalia CCM kusema kweli hawana anaeweza kumrithi Magufuli, hamna nikiwaangalia naona hawaiwezi kazi ambayo Mheshimiwa anaendana nayo, Sasa hata kule kwa wavaa makoti wala bata na pilau nako ndio yaleyale maji ya futi kwa nyayo.
WaTanzania walio wngi sasa wameanza kuona matunda sio ya CCM maana CCM wamepita wengi, matunda ya Magufuli ukianzia kwenye usalama, leo Tanzania unatembea muda wowote ule hakuna mwenye habari na yeye, leo kila mtu alie na simu basi hakosi net live, hayo ni maendeleo na yalikuwa hayapo, wengi sasa wanamiliki vitu ambavyo wakiviona ni ndoto kwenye maisha yao.
Sasa ikiwa mitano iliyopita tumefarijika kiasi hiki, je mitano mingine tuseme mpaka aridhike kuwa amewafikisha waTanzania sehemu ambayo hawatajuta milele.
Na wala sio vibaya kuna nchi nyingi maraisi wao ni wa milele, haitokuwa ajabu kwa Tanzania.
WaTanzania walio wngi sasa wameanza kuona matunda sio ya CCM maana CCM wamepita wengi, matunda ya Magufuli ukianzia kwenye usalama, leo Tanzania unatembea muda wowote ule hakuna mwenye habari na yeye, leo kila mtu alie na simu basi hakosi net live, hayo ni maendeleo na yalikuwa hayapo, wengi sasa wanamiliki vitu ambavyo wakiviona ni ndoto kwenye maisha yao.
Sasa ikiwa mitano iliyopita tumefarijika kiasi hiki, je mitano mingine tuseme mpaka aridhike kuwa amewafikisha waTanzania sehemu ambayo hawatajuta milele.
Na wala sio vibaya kuna nchi nyingi maraisi wao ni wa milele, haitokuwa ajabu kwa Tanzania.