Sisi wazanzibar wao ni wa-tanganyika

Sisi wazanzibar wao ni wa-tanganyika




Tufuate Osia wa Baba wa Taifa tuwe na Serikali 2 sio 3 Serikali ya JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR KILA SERIKALI IWE NA MAMLAKA YAKE. NA MAAMUZI YAKE MWENYEWE.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu, mimi sikufichi juu ya huu Muungano wetu. Binafsi sioni faida yeyote ya kuigombania Zanzibar labda niko unreasonable tu ila sijijuwi. Zanzibar nimeenda mara nne katika maisha yangu na hakuna cha maana kule zaidi ya bugudhi tu, oh huyu mbara, huyu sijuwi ni nani, why? Mimi nilienda kule kwa mapenzi yangu ya uzalendo, nilikuwa sijawahi kufika kule japo si mbali na Dar. Mara ya kwanza nilienda na washikaji tu kwenye school trip, yaani tulipanga sie wenyewe si shule. Mara ya pili nilienda na wife na shemeji yangu. Then nikaenda na wazazi wangu na kuwaacha huko wa enjoy, then nikarudi kuwachukua. Hivyo naifahamu vizuri tu Zenji, vijijini kuna raha zaidi kwani kuna uungwana ila hawa wa mijini ni vituko tu. Hawana kazi zaidi ya kucheza karata, kunywa kahawa, kusali, kulalamikia muungano, na chuki za kijinga. Kama ni hivi kwa nini wasiachiwe wakae na Uzanzibari wao ili waarab warudi na kuwafanyia yale aliyoyaua Karume? Yaani wanaona sifa kunyanyaswa na waarab ndani ya nchi yao, sawa mkataa pema pabaya panamuita, weweeee njooooo nikuchinje!
 









Umesema ukweli Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere.

Mzizi Mkavu, hili ndio tatizo, sasa huu muungano ni muungano au uunganishwaji? Nikifikiri huu muungano uliasisiwa na watu wawili, sasa iwapo tunaona kauli ya mmoja tu hii ina maanisha ni muunganisho wa Nyerere kwa Tanganyika na zanzibar.
​ Tungeona na kauli za Karume ili tujuwe kweli kulikuwa na muafikiano wa mawanzo!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu, mimi sikufichi juu ya huu Muungano wetu. Binafsi sioni faida yeyote ya kuigombania Zanzibar labda niko unreasonable tu ila sijijuwi. Zanzibar nimeenda mara nne katika maisha yangu na hakuna cha maana kule zaidi ya bugudhi tu, oh huyu mbara, huyu sijuwi ni nani, why? Mimi nilienda kule kwa mapenzi yangu ya uzalendo, nilikuwa sijawahi kufika kule japo si mbali na Dar. Mara ya kwanza nilienda na washikaji tu kwenye school trip, yaani tulipanga sie wenyewe si shule. Mara ya pili nilienda na wife na shemeji yangu. Then nikaenda na wazazi wangu na kuwaacha huko wa enjoy, then nikarudi kuwachukua. Hivyo naifahamu vizuri tu Zenji, vijijini kuna raha zaidi kwani kuna uungwana ila hawa wa mijini ni vituko tu. Hawana kazi zaidi ya kucheza karata, kunywa kahawa, kusali, kulalamikia muungano, na chuki za kijinga. Kama ni hivi kwa nini wasiachiwe wakae na Uzanzibari wao ili waarab warudi na kuwafanyia yale aliyoyaua Karume? Yaani wanaona sifa kunyanyaswa na waarab ndani ya nchi yao, sawa mkataa pema pabaya panamuita, weweeee njooooo nikuchinje!

Kauli zako tirigivyogo, matendo yako hayaeleweki! Umtu wa ajabu sana kujipa tabu bila sababu. Hivyo mwenye akili hupigwa zaidi ya mara moja kwa kosa hilo hilo? Labda mwenye akili ya kuku anaesahau kuwa aligonwa muda mfupi uliopita.

Nafikiri maneno yako ya mwanzo ndio sahihi! "au sijuwi niko unreasonable au sijijuwi" Kauli zako zinakubaliana na ulivyojitathmini. Uko unreasonable na hujujuwi, pole ndugu yangu lakini mtu kudai chake si makosa!
 
Kauli zako tirigivyogo, matendo yako hayaeleweki! Umtu wa ajabu sana kujipa tabu bila sababu. Hivyo mwenye akili hupigwa zaidi ya mara moja kwa kosa hilo hilo? Labda mwenye akili ya kuku anaesahau kuwa aligonwa muda mfupi uliopita.

Nafikiri maneno yako ya mwanzo ndio sahihi! "au sijuwi niko unreasonable au sijijuwi" Kauli zako zinakubaliana na ulivyojitathmini. Uko unreasonable na hujujuwi, pole ndugu yangu lakini mtu kudai chake si makosa!


Naona unatokwa na povu bure. Soma tena ili uelewe si unasoma ili ukosoe, ungeelewa usingeandika haya, ila si kosa lako.
 
Umeandika mwenyewe au uliandikiwa na mtu? kwani ulikuwa hujuwi kuwa tumo tunaothamini hicho unachokidharau?

kama wewe si mkenya, utakuwa m drc au mrundi ama mnyarwanda, uko hapa kuchochea watanzania tu. Kiswahili chako, na maandishi yako ni ushahidi tosha.
 
kama wewe si mkenya, utakuwa m drc au mrundi ama mnyarwanda, uko hapa kuchochea watanzania tu. Kiswahili chako, na maandishi yako ni ushahidi tosha.

Kwani ndugu yangu unajuwa Kiswahili wewe? Ni lugha yako ya ngapi? Kwa upande wangu hata kama nyerere asingeleta utawala zanzibar ningeendelea kukkitumia Kiswahili kwani ni lugha pekee niliyofunzwa na wazee wangu, nyenginezo nilianzia shule kama wewe vile ulivyoanzia shule kwa kiswahili! Pole sana kufikiri kuwa kiswahili kiko hivyo unavyojuwa wewe tu!
 
hamna JK mtupu kama huyu wa B,moyo

eti enhee mkuu maana kinachofuata ni kubadili maeneo sasa maana shughuli ya barabara imeisha utasikia kigamboni paanze kuitwa joji bushi
 
Umeandika mwenyewe au uliandikiwa na mtu? kwani ulikuwa hujuwi kuwa tumo tunaothamini hicho unachokidharau?

Tuliza ufahamu wako akili ipate kukuhudumia. Huyu bwana hajakataa kama Zanzibar ina maana, lkn amejisemea kuwa haina maana kwake, so do I. Mimi nimeenda mara moja na niliapa kutokwenda tena for the way nilibaguliwa. Na kama wewe ni Mzanzibari, nisikie kwa makini: WAZANZIBARI NI WATUMWA WA NAFSI.

UKIWA MCHOYO basi na USIWE MROHO. Mnapenda vya wenzenu lkn vya kwenu mnataka kula na mabwana zenu waarabu tu. Ondokeni mnatuchafulia Tanganyika yetu na huu muungano wenu wa CCM na CUF
 
Back
Top Bottom