Sisi Watumishi wa Umma tunasema Hakuna kama Rais Samia

Nyamesocho

JF-Expert Member
May 5, 2023
476
1,244
Hakuna kipindi kigumu walichopitia watumishi kama kipindi cha Mwendazake. Mwendazake aliwafanya watumishi kama madekio na watoto wadogo kwa ahadi za uongo.

Vitisho, ubabe viliongezeka kipindi cha Mwendazake, hakuna nyongeza, hakuna madaraja, TUCTA wakaufyata, kila kiongozi wa serikali ya kijiji, mtaa, Diwani, kila anayeitwa kiongozi aliweza kumkoromea na kumtishia mtumishi wa serikali.

Mwendazake amesababisha walioajiriwa zamani na karibuni kuwa kundi moja kwenye madaraja, yaani mnafanana mfano aliyeajiriwa 2009 na 2014 wanalingana mishahara kitu ambacho si haki.

Tangu Mama Samia aingie mtumishi amekuwa ahueni, serikali ya Mama Samia inawajali watumishi kama enzi za Kikwete.

Nashangaa hela zinatoka wapi sasa kwa sababu Mwendazake alikuwa akidai bajeti imeelekezwa kwenye miundombinu, Mama Samia bado anaendeleza miundombinu hiyo, madarasa yanajengwa, watumishi wanaajiriwa, watumishi wanapanda madaraja, mishahara inapandishwa, Mama Samia anatoa pesa wapi?

Mungu azidi kumbariki Kikwete na Mama Samia, hao wengine watajua wenyewe.

Sitasahau kuna watu waliwadharau sana watumishi, si kazini, mtaani mpaka mtandaoni, wengine humu JF walidiriki kusema kama unaona kazi ni ngumu acha kazi lakini siku hizi!
 
Hakuna kipindi kigumu walichopitia watumishi kama kipindi cha Mwendazake
Mwendazake aliwafanya watumishi kama madekio na watoto wadogo kwa ahadi za uongo

Vitisho, ubabe viliongezeka kipindi cha Mwendazake, hakuna nyongeza, hakuna madaraja, TUCTA wakaufyata, kila kiongozi wa serikali ya kijiji, mtaa, Diwani,kila anayeitwa kiongozi aliweza kumkoromea na kumtishia mtumishi wa serikali

Mwenda zake amesababisha walioajiriwa zamani na karibuni kuwa kundi moja kwenye madaraja yaani mnafanana mfano aliyeajiriwa 2009 na 2014 wanalingana mishahara kitu ambacho si haki

Tangu mama aingie mtumishi amekuwa ahueni, serikali ya mama inawajali watumishi kama enzi za kikwete

Nashangaa hela zinatoka wapi sasa kwa sababu Mwendazake alikuwa akidai bajeti imeelekezwa kwenye miundombinu ,Mama bado anaendeleza miundombinu hiyo,madarasa yanajengwa,watumishi wanaajiriwa, watumishi wanapanda madaraja,mishahara inapandishwa,mama anatoa pesa wapi?

Mungu azidi kumbariki Kikwete na Mama Samia,hao wengine watajua wenyewe

Stasahau kuna watu waliwadharau sana watumishi,si kazini,mtaani mpaka mtandaoni, wengine humu JF walidiriki kusema kama unaona kazi ni ngumu acha kazi lakini siku hizi.......
Mkuu Kulwa Jilala unaitwa huku
 
Binafsi namshukur Jpm kwani alifanya mengi mazuri lkn zaidi sana namshukuru Samia kanipa ajira, isipokua nampinga kutaka kuwekeza bandar kwa mkataba wa kiunyonyaji.!
 
Chawa wa mama huyo ila anyway Jiwe naye alizungua sana yeye alikuwa hatoi ajira mpya na kunangwa mbele ya kata mnazi hapo hapo unaweza simamishwa kazi kwa sifa zake mbele ya katamnazi, watu wasiojulikana, kupotea kwa watu na Kuchukia matajiri, kuchukia wapinzani ukijafanya unampinga utakiona cha mtema kuni ila anyway anamazur yake.
 
Nyie ndio maana mnatandikwa viboko na wakuu wa wilaya kwasababu ni wajinga wajinga
Mtu km wewe hupaswi hata kuajiriwa kwasababu uwezo wako ni mdogo

Uwezo wako unatakiwa uwe mkata nyasi umeziba nafasi za wenye uwezo
Bila shaka na wew ni mmojawapo aliyekuwa anasema kipindi cha Mwendazake"Kama unaona kazi ni ngumu acha kazi"
 
Watu wanapomsifu JPM Kwa kununua ndege, kujenga miundombinu mbali mbali wakumbuke kuwa yote hayo alifanya Kwa hela aliyowadhurum watumishi .
Umeonyesha roho mbaya sana na yaubinafsi... Ninyi mkizeeka ndo mnakuwa wale wazee wa kulaumu laumu hovyo kwenye daladala Ili mpishwe siti, huku mkiwalaumu Vijana wazembe hawajiajiri huku ninyi mmefika umri wa kustaafu na mnaendelea kulazimisha kuwepo ofisini na bila aibu mnaongea ma mishipa yenu ya shingo imesimama mkisema serikalini nafasi zimejaa!
 
Hakuna kipindi kigumu walichopitia watumishi kama kipindi cha Mwendazake
Mwendazake aliwafanya watumishi kama madekio na watoto wadogo kwa ahadi za uongo

Vitisho, ubabe viliongezeka kipindi cha Mwendazake, hakuna nyongeza, hakuna madaraja, TUCTA wakaufyata, kila kiongozi wa serikali ya kijiji, mtaa, Diwani,kila anayeitwa kiongozi aliweza kumkoromea na kumtishia mtumishi wa serikali

Mwenda zake amesababisha walioajiriwa zamani na karibuni kuwa kundi moja kwenye madaraja yaani mnafanana mfano aliyeajiriwa 2009 na 2014 wanalingana mishahara kitu ambacho si haki

Tangu mama aingie mtumishi amekuwa ahueni, serikali ya mama inawajali watumishi kama enzi za kikwete

Nashangaa hela zinatoka wapi sasa kwa sababu Mwendazake alikuwa akidai bajeti imeelekezwa kwenye miundombinu ,Mama bado anaendeleza miundombinu hiyo,madarasa yanajengwa,watumishi wanaajiriwa, watumishi wanapanda madaraja,mishahara inapandishwa,mama anatoa pesa wapi?

Mungu azidi kumbariki Kikwete na Mama Samia,hao wengine watajua wenyewe

Stasahau kuna watu waliwadharau sana watumishi,si kazini,mtaani mpaka mtandaoni, wengine humu JF walidiriki kusema kama unaona kazi ni ngumu acha kazi lakini siku hizi.......
Na wewe ni mwendazake mtarajiwa. Unaongezwa elfu ishirini unaona kubwa. Watanzania wajinga ni wengi. Wenzako wanajilipa ma trion wewe unashangilia elfu ishirini. Nadhani wewe ni kilaza.na unamtumikia nani ?. Haya leo sukari ni shilingi ngapi, Jenga nyumba vuta umeme uone bill yake,mafuta ni shilingi ngapi? ..hovyo kabisa wewe . Mtumishi au upo circle ya poverty!!!
 
Back
Top Bottom