Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,871
- 155,840
Kwa kweli sisi ni washamba sana na malimbukeni.
Sisi ndiyo tunaouza ng'ombe tukale chips kuku na wanawake.
Uchawi tumo sana, UMUGHAKA anaujua muziki wetu.
Sisi ndiyo tunapiga mapicha na mapozi ya ajabu.
Kupiga wrong number sasa.....dadad dadada dadadaaa.
Sisi ndiyo tuna kila kitu cha ajabu, licha ya kwamba Mungu ametutunuku nguvu, akili, maarifa na jitihada. Sehemu akiingia Msukuma maendeleo yanakuja.
Sisi ndiyo tunaouza ng'ombe tukale chips kuku na wanawake.
Uchawi tumo sana, UMUGHAKA anaujua muziki wetu.
Sisi ndiyo tunapiga mapicha na mapozi ya ajabu.
Kupiga wrong number sasa.....dadad dadada dadadaaa.
Sisi ndiyo tuna kila kitu cha ajabu, licha ya kwamba Mungu ametutunuku nguvu, akili, maarifa na jitihada. Sehemu akiingia Msukuma maendeleo yanakuja.